90% ya wafanyakazi wa Serikali wanapiga soga na story maofisini. Je, tunawalipa mishahara ya bure?

Mishahara lazima iendane na uwezo wa Ukuaji wa uchumi, Ofisi za serikali zimejaa uvivu, story, nyodo muda wa kazi, Lunch masaa mawili, Pesa kubwa mnazotaka wakati hamtoi huduma bora kwa wakulima na wafanyabiashara zitatoka wapi?

Nyongeza ya mshahara aliyoitoa Samia mwaka huu inabidi mshukuru sana, Tunaoenda kuumia na kulipia hiyo gharama ni sisi wafanyabiashara na wakulima, Zigo la kodi kulipia hiyo nyongeza ni kubwa sana, Ni zaidi ya mabilioni yameongezeka kwenye bili ya mshahara kwa serikali, Zigo linahamishiwa kwenye kodi ya sisi wakulima na wafanyabiashara ili tulipie gharama hiyo ya nyongeza ya mishahara

Kada ya utumishi wa serikali inaongoza kwa kuwapotezea muda wakulima na wafanyabiashara wafikapo kufuata huduma, Wafanyakazi wa serikali hamjali muda mnaotupotezea muda, Tutazalisha saa ngapi ili kodi ipatikane na Nyie mnufaike?
Wafanyakazi wa Serikali mlipoambiwa Fedha za ndani zinajenga nchi,mlifikiri zinatoka wapi? Ni sisi wafanyabiashara na wakulima tulibanwa koo kwa kabali kisawa sawa kwa kulipishwa kodi kuwezesha miradi ya barabara, Flyovers na vituo vya afya

Mtu anasema nyongeza ni ndogo, Unataka nyongeza kubwa kwa kazi gani ya maana unayofanya Jumatatu mpaka Ijumaa ofisini, Ofisi nyingi za serikali siku ya ijumaa ni kama haipo, Watu wanaunganisha ile muda wa kuswali ijumaa moja kwa moja nyumbani

Unataka pesa kubwa kwa masaa mangapi unayozalisha?

Unataka pesa kubwa kwa huduma gani bora unayatoa kwa wakulima na wafanyabiashara?

Ukiondoa kada ya Afya na ulinzi wa nchi na Raia, Wafanyakazi wa taasisi za serikali wamejaa nyodo, dharau na uvivu hasa akina Dada pale unapofika kuuliza huduma

Wengi ya wafanyakazi wa serikali wana uelewa mdogo sana bado hawajaelimishwa kuwa mishahara yao ni kodi za sisi wafanyabiashara na wakulima ukijumlisha na kodi toka wafanyakazi wa sekta binafsi

Ukifika ofisi za NSSF au Psssf kwa wazee wanaofuatilia mafao yao, Majibu ya wale akina Dada vijana na wale watoto wa kiume kwa wazee yamejaa dharau sana, Wanasahau kuwa bila kodi za wananchi wasingekuwa pale

Kwa miaka mitano iliyopita wafanyabiashara tumepigwa kodi za kutosha kuhudumia Flyover na mabarabara, Tumeumia kujenga shule na hospitali za kata

Je wafanyakazi mlipoambiwa Fedha za ndani mlijua zinatoka wapi? na ni nani analipa hizo kodi?

Ni muda muafaka wa wafanyakazi wa serikali kuelimishwa kuwa pesa za mishahara sio mikopo bali ni kodi za wakulima na wafanyabiashara

Hakuna Taifa linalolipa mishahara kwa pesa za mikopo, Bili ya mishahara kwa mwezi ni kodi zinazokusanywa toka kwa wakulima na wafanyabiashara

Mambo yafuatayo yasipokoma au kubadilika maofisini ni ngumu sana sisi wakulima na wafanyabiashara kuweza kugharamia nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa serikali

1. Uvivu na dharau, Kuchart na simu huku unatusikiliza kwa sikio moja, Baada ya Kuchart utasikia ulikuwa unasema nini vile au Wewe Bibi, Mzee tuliishia wapi, Hapo muda wa zaidi ya saa moja la kuzalisha limepotea na Biashara yako Umefunga kwa muda huo

2. Lunch masaa zaidi ya moja, Bado mtu amerudi lunch anapiga umbea huku akiendeleza kula mezani masalia ya chakula yaliyobaki na kuyafungasha toka canteen au kwenye mgahawa, Hapo muda wa kuzalisha ulishapoteza


3. Habari za njoo kesho au njoo baada ya week mbili, Huwezi endesha biashara yako hapo unasubiri kibali cha manispaa au Halmashauri kwa siku mbili, Hakuna uzalishaji

4. Bosi amesafiri hakuna wa kuweka saini, Hapa unakuta ni saini ya mtu mmoja tu wa Mazingira ili kuruhusu biashara iendelee lakini utasubiri mwezi na kusimamisha uzalishaji wa biashara yako

5. Kaa pale Subiri wameenda kula, Tuna semina uje kesho, Hiyo ni semina isiyo na kikomo ambayo hawamuachi hata mtu mmoja wa kusaidia wafanyabiashara na wakulima

6. Faili lako halionekani, Tunatafuta tutakupigia simu, Hiyo ujue ndio kimoja, Ni Jibu wanalotoa ili uondoke ofisini waendelee na soga na umbea wa mitaani bila kujua tayari wamepoteza kodi ya serikali

Kwa staili kama hizi, Tutazalisha muda gani? Mapato yataongezeka kutoka wapi? Muda wa kuzalisha watu wanakupiga kalenda na danadana, Siku ya Mei mosi unasikia tunataka nyongeza Kubwa, Nyongeza toka kwa kodi ya nani?
Ofisi zingine zimejaa Watumishi wasio na kazi za kufanya. Na Bado wanasema Wana Shortage ya Watumishi. Job description hakuna. Wengine wanafanya kazi ambazo siyo zao na vitengo wameundiwa. Utumishi Hq hawana muda wa kukagua Watumishi wanachofanya zaidi ya kuwaambia wajaze Opras zisizokuwa na Faida. Ofisi zingine Maafisa Utumishi ndio Mungu Watu Kwa Sababu wamapewa Ruksa ya kuangalia taarifa na Siri za Watumishi. Wana Nyodo wanaokaa Ofisi Moja miaka nenda Rudi bila transfer. Hivyo kujiona wao ndio top Kwa kuwabania wengine hatima zao. Utumishi wake Up please.
 
Mishahara lazima iendane na uwezo wa Ukuaji wa uchumi, Ofisi za serikali zimejaa uvivu, story, nyodo muda wa kazi, Lunch masaa mawili, Pesa kubwa mnazotaka wakati hamtoi huduma bora kwa wakulima na wafanyabiashara zitatoka wapi?

Nyongeza ya mshahara aliyoitoa Samia mwaka huu inabidi mshukuru sana, Tunaoenda kuumia na kulipia hiyo gharama ni sisi wafanyabiashara na wakulima, Zigo la kodi kulipia hiyo nyongeza ni kubwa sana, Ni zaidi ya mabilioni yameongezeka kwenye bili ya mshahara kwa serikali, Zigo linahamishiwa kwenye kodi ya sisi wakulima na wafanyabiashara ili tulipie gharama hiyo ya nyongeza ya mishahara

Kada ya utumishi wa serikali inaongoza kwa kuwapotezea muda wakulima na wafanyabiashara wafikapo kufuata huduma, Wafanyakazi wa serikali hamjali muda mnaotupotezea muda, Tutazalisha saa ngapi ili kodi ipatikane na Nyie mnufaike?
Wafanyakazi wa Serikali mlipoambiwa Fedha za ndani zinajenga nchi,mlifikiri zinatoka wapi? Ni sisi wafanyabiashara na wakulima tulibanwa koo kwa kabali kisawa sawa kwa kulipishwa kodi kuwezesha miradi ya barabara, Flyovers na vituo vya afya

Mtu anasema nyongeza ni ndogo, Unataka nyongeza kubwa kwa kazi gani ya maana unayofanya Jumatatu mpaka Ijumaa ofisini, Ofisi nyingi za serikali siku ya ijumaa ni kama haipo, Watu wanaunganisha ile muda wa kuswali ijumaa moja kwa moja nyumbani

Unataka pesa kubwa kwa masaa mangapi unayozalisha?

Unataka pesa kubwa kwa huduma gani bora unayatoa kwa wakulima na wafanyabiashara?

Ukiondoa kada ya Afya na ulinzi wa nchi na Raia, Wafanyakazi wa taasisi za serikali wamejaa nyodo, dharau na uvivu hasa akina Dada pale unapofika kuuliza huduma

Wengi ya wafanyakazi wa serikali wana uelewa mdogo sana bado hawajaelimishwa kuwa mishahara yao ni kodi za sisi wafanyabiashara na wakulima ukijumlisha na kodi toka wafanyakazi wa sekta binafsi

Ukifika ofisi za NSSF au Psssf kwa wazee wanaofuatilia mafao yao, Majibu ya wale akina Dada vijana na wale watoto wa kiume kwa wazee yamejaa dharau sana, Wanasahau kuwa bila kodi za wananchi wasingekuwa pale

Kwa miaka mitano iliyopita wafanyabiashara tumepigwa kodi za kutosha kuhudumia Flyover na mabarabara, Tumeumia kujenga shule na hospitali za kata

Je wafanyakazi mlipoambiwa Fedha za ndani mlijua zinatoka wapi? na ni nani analipa hizo kodi?

Ni muda muafaka wa wafanyakazi wa serikali kuelimishwa kuwa pesa za mishahara sio mikopo bali ni kodi za wakulima na wafanyabiashara

Hakuna Taifa linalolipa mishahara kwa pesa za mikopo, Bili ya mishahara kwa mwezi ni kodi zinazokusanywa toka kwa wakulima na wafanyabiashara

Mambo yafuatayo yasipokoma au kubadilika maofisini ni ngumu sana sisi wakulima na wafanyabiashara kuweza kugharamia nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa serikali

1. Uvivu na dharau, Kuchart na simu huku unatusikiliza kwa sikio moja, Baada ya Kuchart utasikia ulikuwa unasema nini vile au Wewe Bibi, Mzee tuliishia wapi, Hapo muda wa zaidi ya saa moja la kuzalisha limepotea na Biashara yako Umefunga kwa muda huo

2. Lunch masaa zaidi ya moja, Bado mtu amerudi lunch anapiga umbea huku akiendeleza kula mezani masalia ya chakula yaliyobaki na kuyafungasha toka canteen au kwenye mgahawa, Hapo muda wa kuzalisha ulishapoteza


3. Habari za njoo kesho au njoo baada ya week mbili, Huwezi endesha biashara yako hapo unasubiri kibali cha manispaa au Halmashauri kwa siku mbili, Hakuna uzalishaji

4. Bosi amesafiri hakuna wa kuweka saini, Hapa unakuta ni saini ya mtu mmoja tu wa Mazingira ili kuruhusu biashara iendelee lakini utasubiri mwezi na kusimamisha uzalishaji wa biashara yako

5. Kaa pale Subiri wameenda kula, Tuna semina uje kesho, Hiyo ni semina isiyo na kikomo ambayo hawamuachi hata mtu mmoja wa kusaidia wafanyabiashara na wakulima

6. Faili lako halionekani, Tunatafuta tutakupigia simu, Hiyo ujue ndio kimoja, Ni Jibu wanalotoa ili uondoke ofisini waendelee na soga na umbea wa mitaani bila kujua tayari wamepoteza kodi ya serikali

Kwa staili kama hizi, Tutazalisha muda gani? Mapato yataongezeka kutoka wapi? Muda wa kuzalisha watu wanakupiga kalenda na danadana, Siku ya Mei mosi unasikia tunataka nyongeza Kubwa, Nyongeza toka kwa kodi ya nani?
Sasa kama hawalipwi vizuri watakuwaje na morali ya KAZI.kwa akili kama hizi viongozi wabovu wataendelea kutuongoza.
 
Unamaanisha kua kila inapofika ijumaa ofisi za serikali hufungwa mapema hadi j3? Mfano kituo cha polisi,hospitali,shule,walinda mipaka ya nchi(JWTZ) nao hurudi mapema lindoni,Tanesco nk
 
Alafu hii kasumba ya kumpa mtu ajira eti atastaafu baada ya kufika miaka 60 ina tija gani kwa Taifa?
Watumishi wafanye kazi kwa mkataba wa miaka 5, akifanya vizuri anaongezwa mkataba.Wanaopaswa kupewa muda mrefu ni madaktari na Walimu pamoja na Askari.The rest mwendo wa special task contracts tu.
 
Hawa wanatakiwa wapewe mikataba ya miaka 5,kuwepo kwako serikalini kutategemea performance yako,siyo kulea watu wavivu waliopewa uhakika wa ajira mpaka miaka 60!!!
Walimu, Madaktari na Askari ndiyo wapewe mikataba ya motisha mpaka 60 years basi.Vinginevyo tutaendelea kuajiri wakina Mwajuma Ndalandefu na Abunuasi!!
 
Japo na wao pia wanakatwa kodi kwenye mishahara yao Mkuu sio hao uliowataja tu
 
Point sahihi

Point sahihi kabisa.Aliyetakiwa kuwaongezea mhashara wafanyakazi ni Hayati JpM baada ya kuitoa nchi kwenye umaskini na kuipeleka uchumi wa Kati!! Hii ilimanisha kuwa wafanyakazi Sasa wanachapa kazi hivyo wanastahili nyongeza ya mshahara.sasa uchumi umeshuka then unakuja na blabla za kuongeza 23%!!!huku ni kulea uvivu na umaskini!! Nyongeza ya mshahara inatakiwa iendane na ukuaji wa uchumi!! Unakuja na kuwakamua wanyonge na mikodi ya ajabu ili uwalipe wafanyakazi wavivu !! Inaumiza moyo kwa kweli
Hao wafanyakazi pia mjue Wana akili, wanasoma huo wivu wenu jju Yao. Kazi kubwa huendana na maslahi Bora. Unataka walipwe kidogo, au uchumi ukue ndo waongezewe mishahara, halafu wakati huo unataka kuwaona walifanya kazi muda wote? Acha wafanye kazi kwa kadri wanavyolipwa. Uchumi ukikua nao watakuza utendaji na uwajibikaji wao.
 
Nilifanya application ya certificate fulan hv mwez wa 11 mwaka jana kwa title ya mjasiriamali nikakamilisha kila kitu na ada nikalipa certificate nimepata mwez wa 8 mwaka huu
 
Nilende TBS kwa ajili ya certification ya product pale HQ niliwakuta wanapiga story huku wanajishika vitambi mm mjasiliamali nifanyaje nikawa kila ninayempa tatzo langu ananitajia room ya kwenda kuulizia aice nilichoka siku hyo
 
Mishahara lazima iendane na uwezo wa Ukuaji wa uchumi, Ofisi za serikali zimejaa uvivu, story, nyodo muda wa kazi, Lunch masaa mawili, Pesa kubwa mnazotaka wakati hamtoi huduma bora kwa wakulima na wafanyabiashara zitatoka wapi?

Nyongeza ya mshahara aliyoitoa Samia mwaka huu inabidi mshukuru sana, Tunaoenda kuumia na kulipia hiyo gharama ni sisi wafanyabiashara na wakulima, Zigo la kodi kulipia hiyo nyongeza ni kubwa sana, Ni zaidi ya mabilioni yameongezeka kwenye bili ya mshahara kwa serikali, Zigo linahamishiwa kwenye kodi ya sisi wakulima na wafanyabiashara ili tulipie gharama hiyo ya nyongeza ya mishahara

Kada ya utumishi wa serikali inaongoza kwa kuwapotezea muda wakulima na wafanyabiashara wafikapo kufuata huduma, Wafanyakazi wa serikali hamjali muda mnaotupotezea muda, Tutazalisha saa ngapi ili kodi ipatikane na Nyie mnufaike?
Wafanyakazi wa Serikali mlipoambiwa Fedha za ndani zinajenga nchi,mlifikiri zinatoka wapi? Ni sisi wafanyabiashara na wakulima tulibanwa koo kwa kabali kisawa sawa kwa kulipishwa kodi kuwezesha miradi ya barabara, Flyovers na vituo vya afya

Mtu anasema nyongeza ni ndogo, Unataka nyongeza kubwa kwa kazi gani ya maana unayofanya Jumatatu mpaka Ijumaa ofisini, Ofisi nyingi za serikali siku ya ijumaa ni kama haipo, Watu wanaunganisha ile muda wa kuswali ijumaa moja kwa moja nyumbani

Unataka pesa kubwa kwa masaa mangapi unayozalisha?

Unataka pesa kubwa kwa huduma gani bora unayatoa kwa wakulima na wafanyabiashara?

Ukiondoa kada ya Afya na ulinzi wa nchi na Raia, Wafanyakazi wa taasisi za serikali wamejaa nyodo, dharau na uvivu hasa akina Dada pale unapofika kuuliza huduma

Wengi ya wafanyakazi wa serikali wana uelewa mdogo sana bado hawajaelimishwa kuwa mishahara yao ni kodi za sisi wafanyabiashara na wakulima ukijumlisha na kodi toka wafanyakazi wa sekta binafsi

Ukifika ofisi za NSSF au Psssf kwa wazee wanaofuatilia mafao yao, Majibu ya wale akina Dada vijana na wale watoto wa kiume kwa wazee yamejaa dharau sana, Wanasahau kuwa bila kodi za wananchi wasingekuwa pale

Kwa miaka mitano iliyopita wafanyabiashara tumepigwa kodi za kutosha kuhudumia Flyover na mabarabara, Tumeumia kujenga shule na hospitali za kata

Je wafanyakazi mlipoambiwa Fedha za ndani mlijua zinatoka wapi? na ni nani analipa hizo kodi?

Ni muda muafaka wa wafanyakazi wa serikali kuelimishwa kuwa pesa za mishahara sio mikopo bali ni kodi za wakulima na wafanyabiashara

Hakuna Taifa linalolipa mishahara kwa pesa za mikopo, Bili ya mishahara kwa mwezi ni kodi zinazokusanywa toka kwa wakulima na wafanyabiashara

Mambo yafuatayo yasipokoma au kubadilika maofisini ni ngumu sana sisi wakulima na wafanyabiashara kuweza kugharamia nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa serikali

1. Uvivu na dharau, Kuchart na simu huku unatusikiliza kwa sikio moja, Baada ya Kuchart utasikia ulikuwa unasema nini vile au Wewe Bibi, Mzee tuliishia wapi, Hapo muda wa zaidi ya saa moja la kuzalisha limepotea na Biashara yako Umefunga kwa muda huo

2. Lunch masaa zaidi ya moja, Bado mtu amerudi lunch anapiga umbea huku akiendeleza kula mezani masalia ya chakula yaliyobaki na kuyafungasha toka canteen au kwenye mgahawa, Hapo muda wa kuzalisha ulishapoteza


3. Habari za njoo kesho au njoo baada ya week mbili, Huwezi endesha biashara yako hapo unasubiri kibali cha manispaa au Halmashauri kwa siku mbili, Hakuna uzalishaji

4. Bosi amesafiri hakuna wa kuweka saini, Hapa unakuta ni saini ya mtu mmoja tu wa Mazingira ili kuruhusu biashara iendelee lakini utasubiri mwezi na kusimamisha uzalishaji wa biashara yako

5. Kaa pale Subiri wameenda kula, Tuna semina uje kesho, Hiyo ni semina isiyo na kikomo ambayo hawamuachi hata mtu mmoja wa kusaidia wafanyabiashara na wakulima

6. Faili lako halionekani, Tunatafuta tutakupigia simu, Hiyo ujue ndio kimoja, Ni Jibu wanalotoa ili uondoke ofisini waendelee na soga na umbea wa mitaani bila kujua tayari wamepoteza kodi ya serikali

Kwa staili kama hizi, Tutazalisha muda gani? Mapato yataongezeka kutoka wapi? Muda wa kuzalisha watu wanakupiga kalenda na danadana, Siku ya Mei mosi unasikia tunataka nyongeza Kubwa, Nyongeza toka kwa kodi ya nani?

Hii survey imetumia sample yenye ukubwa gani kuwakilisha watumishi wote?
 
Maskini mna shida sana, badala u uhangaike na wanasiasa wanaopata mara elfu ya hao watumishi unataka kuangamiza maskini wenzio. Stupid.
 
Mabadiliko ni jambo lisilozuilika. Utachelewa ila litafika wakati wa kutakiwa kutokea litatokea tu.

Haya malalamiko yenu ni matokeo ya serikali kutokuweka maandalizi mazuri ya mapokeo ya kwaajiri kizazi chetu walirelax tu wakijua maisha yatakuwa hivi hivi miaka yote hakutakuwa na mahitaji makubwa ya ajira.

Wakati umefika watoto wameshakuwa watu wazima wanataka sasa kushika nafasi zao katika taasisi muhimu za kitaifa ili washiriki katika kulijenga na kukiendeleza taifa lao. Zinaanza porojo sasa, mara oooh vijana taifa la kesho, mara oooh vijana mjiajiri, mara ooh, mikopo kwaajiri ya wajasiriamali, mara oooh sensa ... Hizi kelele zote ni kukwepa swali la msingi.

Swali la msingi linahoji KWANINI HAPO SERIKALINI SURA NI ZILE ZILE KWENYE UONGOZI NA HAKUNA UTENDAJI BORA?

KWANINI HAPO SERIKALINI KUNA WATU UMRI WAO NI ABOVE MIAKA 55 WANAZUNGUKA ZUNGUKA HUMO OFISINI WANAUWEZO GANI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA KISASA ZA INCHI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mishahara lazima iendane na uwezo wa Ukuaji wa uchumi, Ofisi za serikali zimejaa uvivu, story, nyodo muda wa kazi, Lunch masaa mawili, Pesa kubwa mnazotaka wakati hamtoi huduma bora kwa wakulima na wafanyabiashara zitatoka wapi?

Nyongeza ya mshahara aliyoitoa Samia mwaka huu inabidi mshukuru sana, Tunaoenda kuumia na kulipia hiyo gharama ni sisi wafanyabiashara na wakulima, Zigo la kodi kulipia hiyo nyongeza ni kubwa sana, Ni zaidi ya mabilioni yameongezeka kwenye bili ya mshahara kwa serikali, Zigo linahamishiwa kwenye kodi ya sisi wakulima na wafanyabiashara ili tulipie gharama hiyo ya nyongeza ya mishahara

Kada ya utumishi wa serikali inaongoza kwa kuwapotezea muda wakulima na wafanyabiashara wafikapo kufuata huduma, Wafanyakazi wa serikali hamjali muda mnaotupotezea muda, Tutazalisha saa ngapi ili kodi ipatikane na Nyie mnufaike?
Wafanyakazi wa Serikali mlipoambiwa Fedha za ndani zinajenga nchi,mlifikiri zinatoka wapi? Ni sisi wafanyabiashara na wakulima tulibanwa koo kwa kabali kisawa sawa kwa kulipishwa kodi kuwezesha miradi ya barabara, Flyovers na vituo vya afya

Mtu anasema nyongeza ni ndogo, Unataka nyongeza kubwa kwa kazi gani ya maana unayofanya Jumatatu mpaka Ijumaa ofisini, Ofisi nyingi za serikali siku ya ijumaa ni kama haipo, Watu wanaunganisha ile muda wa kuswali ijumaa moja kwa moja nyumbani

Unataka pesa kubwa kwa masaa mangapi unayozalisha?

Unataka pesa kubwa kwa huduma gani bora unayatoa kwa wakulima na wafanyabiashara?

Ukiondoa kada ya Afya na ulinzi wa nchi na Raia, Wafanyakazi wa taasisi za serikali wamejaa nyodo, dharau na uvivu hasa akina Dada pale unapofika kuuliza huduma

Wengi ya wafanyakazi wa serikali wana uelewa mdogo sana bado hawajaelimishwa kuwa mishahara yao ni kodi za sisi wafanyabiashara na wakulima ukijumlisha na kodi toka wafanyakazi wa sekta binafsi

Ukifika ofisi za NSSF au Psssf kwa wazee wanaofuatilia mafao yao, Majibu ya wale akina Dada vijana na wale watoto wa kiume kwa wazee yamejaa dharau sana, Wanasahau kuwa bila kodi za wananchi wasingekuwa pale

Kwa miaka mitano iliyopita wafanyabiashara tumepigwa kodi za kutosha kuhudumia Flyover na mabarabara, Tumeumia kujenga shule na hospitali za kata

Je wafanyakazi mlipoambiwa Fedha za ndani mlijua zinatoka wapi? na ni nani analipa hizo kodi?

Ni muda muafaka wa wafanyakazi wa serikali kuelimishwa kuwa pesa za mishahara sio mikopo bali ni kodi za wakulima na wafanyabiashara

Hakuna Taifa linalolipa mishahara kwa pesa za mikopo, Bili ya mishahara kwa mwezi ni kodi zinazokusanywa toka kwa wakulima na wafanyabiashara

Mambo yafuatayo yasipokoma au kubadilika maofisini ni ngumu sana sisi wakulima na wafanyabiashara kuweza kugharamia nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa serikali

1. Uvivu na dharau, Kuchart na simu huku unatusikiliza kwa sikio moja, Baada ya Kuchart utasikia ulikuwa unasema nini vile au Wewe Bibi, Mzee tuliishia wapi, Hapo muda wa zaidi ya saa moja la kuzalisha limepotea na Biashara yako Umefunga kwa muda huo

2. Lunch masaa zaidi ya moja, Bado mtu amerudi lunch anapiga umbea huku akiendeleza kula mezani masalia ya chakula yaliyobaki na kuyafungasha toka canteen au kwenye mgahawa, Hapo muda wa kuzalisha ulishapoteza


3. Habari za njoo kesho au njoo baada ya week mbili, Huwezi endesha biashara yako hapo unasubiri kibali cha manispaa au Halmashauri kwa siku mbili, Hakuna uzalishaji

4. Bosi amesafiri hakuna wa kuweka saini, Hapa unakuta ni saini ya mtu mmoja tu wa Mazingira ili kuruhusu biashara iendelee lakini utasubiri mwezi na kusimamisha uzalishaji wa biashara yako

5. Kaa pale Subiri wameenda kula, Tuna semina uje kesho, Hiyo ni semina isiyo na kikomo ambayo hawamuachi hata mtu mmoja wa kusaidia wafanyabiashara na wakulima

6. Faili lako halionekani, Tunatafuta tutakupigia simu, Hiyo ujue ndio kimoja, Ni Jibu wanalotoa ili uondoke ofisini waendelee na soga na umbea wa mitaani bila kujua tayari wamepoteza kodi ya serikali

Kwa staili kama hizi, Tutazalisha muda gani? Mapato yataongezeka kutoka wapi? Muda wa kuzalisha watu wanakupiga kalenda na danadana, Siku ya Mei mosi unasikia tunataka nyongeza Kubwa, Nyongeza toka kwa kodi ya nani?
Kama kweli una uchungu, ungeongelea wabunge wanaosinzia na kugonga meza tu, hao ni wanyonyaji namba moja
 
Back
Top Bottom