9 Most racist Countries in the World

Hivi Watanzania nyie huwa mnasoma jambo kabla ya ku comment ama?

Maana naona Watu wanabishana na takwimu ili hali taarifa imejieleza kwamba kuna uwezekano mkubwa tu wa takwimu kutofautiana kutoka moja hadi nyingine...hivyo ni jukumu lenu kutoka na kutafuta matokeo ya tafiti tofauti tofauti na sio kubishana na tafiti za wengine.
 
Waliobahatika kwenda uarabuni kama watumwa walihasiwa. Pia kulikuwa sheria kali sana kwa mwanamke wa kiarabu kumsogelea mtu mweusi na huenda kama ilitokea kwa bahati mbaya akazaliwa mtoto mweusi baina mwarabu na mweusi basi yule mtoto aliuliwa.
Sio kweli mkuu mwarabu alifanya biashara ya watumwa na wanunuzi walikua wazungu hizo habar unazo leta ni matango pori
 
Waliobahatika kwenda uarabuni kama watumwa walihasiwa. Pia kulikuwa sheria kali sana kwa mwanamke wa kiarabu kumsogelea mtu mweusi na huenda kama ilitokea kwa bahati mbaya akazaliwa mtoto mweusi baina mwarabu na mweusi basi yule mtoto aliuliwa.
"Waliobahatika" yani kwenda utumwani ni bahati..?
 
Jomba tufafanulie kuhusu huu utafiti,
1)je utafiti uliofanywa kwa poll(possible internet poll)unaenda hadi chini kwa maana ya vijiji, kata na mikoa yote
2)imekuwaje taasisi mbili zilizofanya utafiti miaka tofauti zilete majibu yanayofanana,
3)je kati ya poll na visa halisi vya ubaguzi vinavyoripotiwa kipi kina nguvu,
4)je maswali yaliulizwa kwa mujibu wa race kwa sababu waarabu, wahindi na waafrika hawafanani.

Kukubali tu huu utafiti kwa sababu ya title yake haitoshi .
 
... lakini hao wazungu hawamo kwenye hiyo list ya racists! Kuna swali limeulizwa mara nyingi ila halijawahi pata majibu ya kueleweka; kwamba slave lords walikuwa arabs ila "people of color" hawapo uarabuni; why?
Click Hio link, kaangalie Hio research imefanywa vipi, research haijafanywa Dunia nzima Bali nchi chache tu na majority Ni za middle east na Asia.

Ni Kama mimi nifanye Utafiti WA Nchi masikini Dunia then Ni include nchi chache tu za ulaya basi nitapata jibu Poland Ni nchi masikini zaidi, ila nitakuwa sipo sahihi sababu research yangu haija Cover nchi masikini nyengine.

Kuhusu watu weusi Arabuni huyu mfalme WA Oman aliekufa sio mweusi? Saudi hawana Bilionea Mweusi? Amir WA Kuwait hakuwa na asili ya weusi?
 
Waarabu wana msemo wao..unasema ni bora shehe awe mlevi kuliko shehe kuwa mweusi..
Kaka huo msemo wa kiarabu sijui umetoka nchi gani ya kiarabu,bara Arabu ni kubwa wakiwa na tamaduni na mila tafauti

Katika hii listi Lebanon imetajwa kama nchi ya pili kwa ubaguzi(racisim),..

Sasa nikwambie kitu moja katika dhehebu kubwa la kiislam lenye nguvu baada ya Hizbollah ni dhehebu la Habshi

Dhehebu la Habshi lilianzishwa na mtu mweusi kutoka Ethiopia,huyu Sheikh alizunguka dunia akaishia Lebanon akanzisha Dhehebu laje

Warabu wa Lebanon wafuasi wa Habshia wanamtukuza Sheikh wao kama mtume

Ingia Youtube,peruzi Google kupata habari zaidi

Dini ya kiislamu inamtukuza sana mtu mweusi,katika kitabu cha Quran katika surah ya 15 aya ya 26,(alhijr 15:26), surah inasema ALLAH kamuumba binadamu wa mwanzo kwa udongo mweusi wa ufinyazi..

Kwakifupi Adam alikuwa mtu mweusi...

Wakati wa Mtume(saw),mtu anaeitwa Bilal ambae alikuwa mwafrika ndie alikuwa mtu wa mwanzo kuita sala(adhana)..

Hii list kuhusu Lebanon na Warabu haikukaa sawa,Warabu wanawakubali,Watu weusi,kuliko watu weusi tunavyojikubali

Tafakari
 
Hata wazungu msemo wao ni kama huo usemao; Ni bora padri mzungu awe mzinzi kuliko padre awe mtu mweusi asiye mzinzi.
Nchi za Wazungu hasa Marekani kuna makanisa ya watu weusi peke yao na Watu wazungu peke yao,...

kuna hata mistari ya biblia inayosema mtu mweusi kalaaniwa..
 
Sio kweli mkuu mwarabu alifanya biashara ya watumwa na wanunuzi walikua wazungu hizo habar unazo leta ni matango pori
Ahsante mwarabu wa Tabora kweli hamkufanya biashara ya watumwa.
Madoni wa utumwa na biashara ya utumwa ni Misri, nchi za Mashariki ya kati ambazo ni waarabu, Ugiriki, Dola la Kirumi na Mesopotamia. Baadae sana baada ya kuvumbuliwa Americas ndio watumwa wakaanza kupelekwa kwenye mashamba ya miwa, pamba, nk huko Amerika ila aliyejihusisha na ukusanyaji na usafirishaji viarabu hususani hivi vya Oman
 
Good analysis ...lkn mkuu if so kwann kizaz cha watumwa weus wote waliopelekwa masharik ya kati hakikuendelea kama tunavoona weus wa ulaya na marekan...pale umesema waarabu wanawakubali sana watu weusii

Lkn kuna documentary moja niliichek tv ya al jazeera wanaonesha masaibu ya watu weus wanayopata pale wanajaribu kuku cross libya...walionesha ubaguz wa hatari kuna mwarabu alikuwaa hatak kuwagusa wanaijeria akidai atapata mikos au laana
 
Waarabu walipeleka watumwa marekani? Hii mpya, hebu tuletee source
 
Nchi za Wazungu hasa Marekani kuna makanisa ya watu weusi peke yao na Watu wazungu peke yao,...

kuna hata mistari ya biblia inayosema mtu mweusi kalaaniwa..


Halafu watu wanadai Biblia ni kitabu cha Mungu!!!
 
India kuna wahindi weusi tiii,,tena kuliko blacks wa afrika.
Lakini ajabu nao pia wanawabagua waafrika.....
--Nilishawasikia wahindi wakituita nyani,,kwa masikio yangu mawili.
-- India ugomvi wa mtu mweusi muafrica na muhindi ni ugomvi wa wahindi wote dhidi ya muafrica 1.

The most recist countries I have witnessed.
--india.
--greece.
--china.
--south Africa.
 
... lakini hao wazungu hawamo kwenye hiyo list ya racists! Kuna swali limeulizwa mara nyingi ila halijawahi pata majibu ya kueleweka; kwamba slave lords walikuwa arabs ila "people of color" hawapo uarabuni; why?
walikuwa wanawaasi ili wasizaliane ila kwa wazungu waliruhusiwa kuzaliana na hata kuoa wazungu baadae lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…