8 - 2

8 - 2

Consigliere

Platinum Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
12,689
Reaction score
26,568
Leo ni tarehe 8 - 2, kilichonishangaza ni watu fulani walipokuta nimeandika sehemu hizo namba, wao bila ya kuuliza wakaamua kunikasirikia siku nzima.

Nilipochunguza, nikagundua kuwa ni mashabiki wa Arsenal

Kwani kuna tatizo gani kuandika 8-2?.
 
sababu maana yake ni 6.
Labda kwao 6 ni tusi
 
Sijaelewa kabisa!!

Unamaanisha uliaNDIKA hivyo sehemu?
 
ENIGMATIC YOU HAVE BECOME. Like an underling you have writen.
 
Back
Top Bottom