Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Leo ni tarehe 8 - 2, kilichonishangaza ni watu fulani walipokuta nimeandika sehemu hizo namba, wao bila ya kuuliza wakaamua kunikasirikia siku nzima.
Nilipochunguza, nikagundua kuwa ni mashabiki wa Arsenal
Kwani kuna tatizo gani kuandika 8-2?.
Nilipochunguza, nikagundua kuwa ni mashabiki wa Arsenal
Kwani kuna tatizo gani kuandika 8-2?.