62 yrs old anataka kuongezewa muda kazini- NHIF

Jun 18, 2012
5
0
Mkurugenzi wa NHIF kuongezewa muda wa kuliongoza shirika ikiwa ameshatimiza muda wa kustaafu. Hivi serikali yetu inatupeleka wapi.
 
Kwani yuko mwenyewe tuu? watu tunaibiwa pesa zetu tuu na huduma mbovu, mtu una kadi ya kijani ila huwezi kumuona proffesional Doctors????????????????
 
Mbona mwalimu wangu Kitillya wa TRA nae aliongezewa? Naona hamna watu wa kushika nafasi hizo. Na kuna kipindi kulikuwa na tetesi za kuongeza umri wa kustaafu!! VIJANA TAIFA LA KESHO!! Sijui kesho itafika lini.
Mkurugenzi wa nhif kuongezewa muda wa kuliongoza shirika ikiwa ameshatimiza muda wa kustaafu. Hivi serikali yetu inatupeleka wapi.
 
Lawama ni za pande mbili zote - serikali pamoja na huyo mkurugenzi. Kwanini hawakufikiria succession planning in advance? Hawakujua kuna siku itafika nafasi itatakiwa ikaliwe na mtu mwingine? Kwa nini hawaandai watu mapema katika kuwajengea uwezo?
 
Lawama ni za pande mbili zote - serikali pamoja na huyo mkurugenzi. Kwanini hawakufikiria succession planning in advance? Hawakujua kuna siku itafika nafasi itatakiwa ikaliwe na mtu mwingine? Kwa nini hawaandai watu mapema katika kuwajengea uwezo?

Mmm unadhan hakuna watu wa kufanya kazi hiyo? Ofisi nyingine wanaofanya kazi wamesoma wapi? Yaan nhif nzima hakuna alokuwa anaweza kuongoza ofisi. Hy jamaa alikuwa anang'ang'ania tu.
 
Mzee kesha staafu kumwita ni FISADI siyo kweli ni kati ya CEOs wachache waadilifu sana, ila udhaifu wake ni kuwapendelea rafiki zake alioanza nao shirika akiwa ametoka nao NSSF .. hawa jamaa ndio waliokuwa very powerful ndani ya Mfuko na ni mabingwa wa FITNA...sasa yupo DDG alitokea LAPF sasa sijui hali itakuwaje kwa ndugu zetu wa NHIF...Lets wait and see!!
 
Watanzania tuwe na moyo wa shukrani. Huyu CEO amefanya kazi kubwa sana kwa Shirika hili. Amelitoa mahali ambako lilikuwa halionekani, na leo hii ni chombo cha kujivunia. Dosari ndogo ndogo zipo, lakini hasisababishwi na yeye bali mfumo mbovu wa Watanzania kuchakachua kila kilicho mbele yao. Kuna watu wanadanganya kwenye matibabu, wenye hospitali wanadanganya ili wapate malipo kwa kazi hewa, sisi wenyewe mitaani tunapeana vitambulisho ili tutibiwe bure, kuna viburi vya watoa huduma hospitalini, n.k

Huyu ana manufaa zaidi kuongezewa muda kuliko wale ndugu zetu wanaoshinda ndani ya Bunge kazi yao ikiwa kukusanya posho kila kona!

Wanaofanya kazi nzuri tuwapongeze. Tusiwakatishe tamaa. Ikibidi waongezwe muda tu wachape kazi. Kuna vijana wengi wasio na weledi wala uzalendo. Tumewaona. Tumewajaribu. Wamefeli.
 
Apishe na wengine, kweli yawezekana alikua muadilifu. Maana siku ya kuondoka ofisini alibeba makabrasha yake lori zima, yawezekana hata madaftari ya chuoni yalikuwa oficn for reference.
 
Nadhani pia mkifuatilia vitabu vya mahesabu vya nhif mtagundua kuwa huyu jamaa ameliacha shirika likiwa imara sana.
 
Mkurugenzi wa NHIF kuongezewa muda wa kuliongoza shirika ikiwa ameshatimiza muda wa kustaafu. Hivi serikali yetu inatupeleka wapi.

We ni nani unaepingana na sera ya chama tawala?eeeh.....ni utraratibu wetu katika chama kwa wastaafu wenzetu ambao hawajamaliza kazi tuliyowatuma kuhakikisha fedha za uchaguzi zinapatikana kuongezewa muda wakuongoza hata kama umri umezidi.Kwani wewe kijana hujui chama tawala kuwa ni cha wazee,nendeni CDM huko hapa kwetu ni madili tu.Urudie tena kuwasema wazee wako vibaya.
 
Watanzania tuwe na moyo wa shukrani. Huyu CEO amefanya kazi kubwa sana kwa Shirika hili. Amelitoa mahali ambako lilikuwa halionekani, na leo hii ni chombo cha kujivunia. Dosari ndogo ndogo zipo, lakini hasisababishwi na yeye bali mfumo mbovu wa Watanzania kuchakachua kila kilicho mbele yao. Kuna watu wanadanganya kwenye matibabu, wenye hospitali wanadanganya ili wapate malipo kwa kazi hewa, sisi wenyewe mitaani tunapeana vitambulisho ili tutibiwe bure, kuna viburi vya watoa huduma hospitalini, n.k

Huyu ana manufaa zaidi kuongezewa muda kuliko wale ndugu zetu wanaoshinda ndani ya Bunge kazi yao ikiwa kukusanya posho kila kona!

Wanaofanya kazi nzuri tuwapongeze. Tusiwakatishe tamaa. Ikibidi waongezwe muda tu wachape kazi. Kuna vijana wengi wasio na weledi wala uzalendo. Tumewaona. Tumewajaribu. Wamefeli.

Mnyonge mnyonge lakin haki yake mpeni.

Emmanuel Humba ni mchapakazi mzuri sana na amefanya kazi za ziada sana kuanzisha NHIF na kuifikisha hapo ilipo.

pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu lakin huyu ni mchapakazi sana toka akiwa NPF na baadaye NSSF.

Hongera sana Emmanuel.
 
Back
Top Bottom