62 yrs old anataka kuongezewa muda kazini- NHIF

Wapo wengi tu mbona serikalini

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ni kweli kabisa NHIF inatuibia sana. Ingekuwa hiari kujiunga mimi nisingejiunga. Nina kadi ya kijani lakini mama yangu namtibia private hospital maana huduma ni mbovu sana (hata ukiwa na kadi ya kijani)!! Kwanza kwa magonjwa fulani ambayo wao wanaona ni gharama kubwa, unatakiwa ukaombe kibali kwao ili mgonjwa atibiwe. Wanakata hela zetu na hatuumwi mara kwa mara, ukiumwa wanataka ukaombe kibali utafikiri wanakufanyia hisani wakati wana hela zetu!!! Ila Mungu atawalaani kwa kutuibia. Mimi natumia hela zangu wakati wana hela zangu!!! God will deal with them!!Huyo ataachia ngazi tu na joto ya jiwe ataliona tu hata aongezewe miaka kumi. Atachia ngazi tu.
Kwani yuko mwenyewe tuu? watu tunaibiwa pesa zetu tuu na huduma mbovu, mtu una kadi ya kijani ila huwezi kumuona proffesional Doctors????????????????
 
Ni kweli kabisa NHIF inatuibia sana. Ingekuwa hiari kujiunga mimi nisingejiunga. Nina kadi ya kijani lakini mama yangu namtibia private hospital maana huduma ni mbovu sana (hata ukiwa na kadi ya kijani)!! Kwanza kwa magonjwa fulani ambayo wao wanaona ni gharama kubwa, unatakiwa ukaombe kibali kwao ili mgonjwa atibiwe. Wanakata hela zetu na hatuumwi mara kwa mara, ukiumwa wanataka ukaombe kibali utafikiri wanakufanyia hisani wakati wana hela zetu!!! Ila Mungu atawalaani kwa kutuibia. Mimi natumia hela zangu wakati wana hela zangu!!! God will deal with them!!Huyo ataachia ngazi tu na joto ya jiwe ataliona tu hata aongezewe miaka kumi. Atachia ngazi tu.

Mi nina ufahamu kidogo na NHIF. Kwa hiyo usilalamike ndugu embu tuambie mama unamtibia katika hospitali gani na kwa nini kadi yake haiwezi kumtibu maana siku hizi hakuna tofauti ya rangi za kadi.

Kadi zote zinaingia hospitali zote ikiwapo Regency ambayo mwanzoni ilikuwa haitaki kadi za brown na pia kitita cha mafao ni sawa kwa wote bila kujali rangi ya kadi au hali ya mwanachama.
 
atakapoingia mwingine ndio tunaweza kupima uzuri wa uongozi kati yake na yule aliyepita. hata hivyo E.Humba aliuendesha mfuko huo kwa moyo na kuhakikisha unakuwa na kubadilika kukidhi mahitaji ya wananchama wake kila kukicha.
lakini yawezekana akaja mzuri zaidi, hayo yote tusubiri tuone.
 
Mi nina ufahamu kidogo na NHIF. Kwa hiyo usilalamike ndugu embu tuambie mama unamtibia katika hospitali gani na kwa nini kadi yake haiwezi kumtibu maana siku hizi hakuna tofauti ya rangi za kadi.

Kadi zote zinaingia hospitali zote ikiwapo Regency ambayo mwanzoni ilikuwa haitaki kadi za brown na pia kitita cha mafao ni sawa kwa wote bila kujali rangi ya kadi au hali ya mwanachama.

watu wengine hulalamika kwa majumuisho, yawezekana alipata shida siku moja basi ikawa ndio kila siku ataiponda hiyo kadi ya NHIF, yawezekana pia akawa hana elimu ya kutosha juu ya wapi apate matibabu sahihi na kwa vipi.
mimi nimeshatumia kadi mbalimbali za bima za afya kwa namna hospitali zetu zilivyo usufumbu ni ule ule kwa kadi zote. lakini matibu mwisho wa siku unapata.
kwa kweli NHIF inajitahidi sana ukilinganisha na ulivyokuwa awali.
 
watu wengine hulalamika kwa majumuisho, yawezekana alipata shida siku moja basi ikawa ndio kila siku ataiponda hiyo kadi ya NHIF, yawezekana pia akawa hana elimu ya kutosha juu ya wapi apate matibabu sahihi na kwa vipi.
mimi nimeshatumia kadi mbalimbali za bima za afya kwa namna hospitali zetu zilivyo usufumbu ni ule ule kwa kadi zote. lakini matibu mwisho wa siku unapata.
kwa kweli NHIF inajitahidi sana ukilinganisha na ulivyokuwa awali.

Mimi kwa kweli naiamini sana NHIF kwa huduma zake na ninaweza kusema kabisa bila kuogopa kwamba hakuna Bima ya Afya nyingine ndani ya nchi yetu inayogaramia huduma nyingi za Afya kama NHIF. Ninayasema haya kwa sababu mi mwenyewe najua ilinisaidia nini.

Cha muhimu ni kuhakikisha wewe kama mwanachama unajua haki zako ni zipi ili kuepuka kusumbuliwa kwenye mahospitali
 
kiukweli huyu bwana mkurugenzi hata kama ana miaka 62 aongezewe tu hakuna shida.

NHIF ni mojawapo ya mashirika ya umma ambayo yamekuwa kwa kasi na ufanisi mkubwa sana. Najua zipo changamoto za hapa na pale ambazo kwangu mimi ni za kawaida.

Swala la mtu kupata shida sehemu nadhani siyo kuilaumu NHIF bali hospital yenyewe. After hata kama NHIF wataweka some check and balance nadhani ni sawa coz kitu ambacho hakina regulation nayo itakuwa chaos. Pesa zetu lazima watunze vizuri ili kuhakikisha kwamba tunapata huduma vema

Huyo bwana ni big up sana.
 
atakapoingia mwingine ndio tunaweza kupima uzuri wa uongozi kati yake na yule aliyepita. hata hivyo E.Humba aliuendesha mfuko huo kwa moyo na kuhakikisha unakuwa na kubadilika kukidhi mahitaji ya wananchama wake kila kukicha.
lakini yawezekana akaja mzuri zaidi, hayo yote tusubiri tuone.
Maneno yatawatoka sana, ..ando, ....zar, ..hani kazi mliyo nayo ni kubwa sana
 
Mama alipata stroke na nilikaa hiyo Regency yako masaa msaba hajapatiwa huduma ya maana. Na hapo nimeambiwa niende NHIf nikaombe kibali ili apigwe picha (CT Scan). Nikaenda na nikawakoromea sana ila haikusaidia. Walinipa kibali na nikarudi na akapigwa hiyo picha nikaambiwa majibu kesho. Nikarudi kwa daktari akaniambia nisubiri nje atanielekeza. Nilikaa nje na kila nikiwaombe watupe basi first aid wao wanasema mgonjwa sio serious hatuna kitanda. Yaani wanataka uende na mgonjwa ambae anakata roho ndio waone yuko serious. Nilioondoka saa nane toke saa mbili asubuhi bila huduma yoyote ile. regency huduma zao mbovu sana. Agakhan ilikuwa nzuri sana ila wametuondoa huko. Hospitali zote zilizobaki ni balaa. Muhimbili isingekuwa huo mgomo baridi nayo ni nzuri ila kuna hako kamgomo baridi. Kinaniuma sana kwani nakatwa elfu sabini kilka mwezi. Wezi sana hao!
Mi nina ufahamu kidogo na NHIF. Kwa hiyo usilalamike ndugu embu tuambie mama unamtibia katika hospitali gani na kwa nini kadi yake haiwezi kumtibu maana siku hizi hakuna tofauti ya rangi za kadi.

Kadi zote zinaingia hospitali zote ikiwapo Regency ambayo mwanzoni ilikuwa haitaki kadi za brown na pia kitita cha mafao ni sawa kwa wote bila kujali rangi ya kadi au hali ya mwanachama.
 
Jamani mzee wetu, sijui kwanini wamemtoa ghafla hivi. sasa mwisho wa shirika unakaribia, maana wenye meno wanajiadaa kuanza kuchota bila aibu. Mungu akulinde mzee wetu EBD Humba
 
Mama alipata stroke na nilikaa hiyo Regency yako masaa msaba hajapatiwa huduma ya maana. Na hapo nimeambiwa niende NHIf nikaombe kibali ili apigwe picha (CT Scan). Nikaenda na nikawakoromea sana ila haikusaidia. Walinipa kibali na nikarudi na akapigwa hiyo picha nikaambiwa majibu kesho. Nikarudi kwa daktari akaniambia nisubiri nje atanielekeza. Nilikaa nje na kila nikiwaombe watupe basi first aid wao wanasema mgonjwa sio serious hatuna kitanda. Yaani wanataka uende na mgonjwa ambae anakata roho ndio waone yuko serious. Nilioondoka saa nane toke saa mbili asubuhi bila huduma yoyote ile. regency huduma zao mbovu sana. Agakhan ilikuwa nzuri sana ila wametuondoa huko. Hospitali zote zilizobaki ni balaa. Muhimbili isingekuwa huo mgomo baridi nayo ni nzuri ila kuna hako kamgomo baridi. Kinaniuma sana kwani nakatwa elfu sabini kilka mwezi. Wezi sana hao!
Kiongozi hii ni story ya kusikitisha ukizingatia regency huwa wanapata fedha nyingi sana kutoka NHIF. Unaonaje hii case ukaifikisha officially kwa viongozi wa Nhif kama customer complain ili waifanyie uchunguzi? Here we need actions and feedback wadau.
 
Sijui kama itazaa matunda kwani nilipoenda kuchukua kibali cha CT Scan niliwakoromea na wao walijitetea kwamba Regency wangeweza kumpiga hiyo picha bila kusubiri kibali (yaani kibali kingefuata baadae). Ila hata ukilipa mwenyewe Regency hawana huduma nzuri. Pale Tumaini pia si pazuri sana, including Mikocheni. Yaani hatuna pa kukimbilia. Halafu hospitali ziko mbali na ninakokaa. Nikifikilia hayo mafuta ya gari nitakayoweka naona bora nimpeleke hospitali ya karibu ambayo wana huduma nzuri. Mie mlala hoi sikai sehemu za kueleweka hivyo Dar Group ndio karibu na kwangu. Huduma pale ni nzuri na si gharama sana. Wale watu wa NHIF wanakula hela zetu na kustarehe tu wakati sisi hatupati huduma bora. Ila tatizo kubwa ni kutulazimisha kuingia NHIF. Taasisi za bima za afya ni nyingi sana na nzuri kuliko HNIF, tungeweza kuchagua wenyewe ila kwa kweli tulilazimishwa tu na mwajiri wetu serikali. Mimi sikujaza kadi lao hadi mama yangu alipoumwa na wakati huo tulikuwa tunatibiwa Agakhan. Nilipata huduma bomba na niliona faida ya bima ya afya. Lakini sasa hivi sioni faida. Mama hajapona na ninanunua dawa ambazo ni za gharama sana. Ila nakushukuru kwa ushauri nitaenda kulalamika kwa mkurugenzi. Ntakupa feedback.
Kiongozi hii ni story ya kusikitisha ukizingatia regency huwa wanapata fedha nyingi sana kutoka NHIF. Unaonaje hii case ukaifikisha officially kwa viongozi wa Nhif kama customer complain ili waifanyie uchunguzi? Here we need actions and feedback wadau.
 
Unyonyaji wa hali ya juu mtu kadi huna makato yanaendelea utafikiri kodi ya laini ya simu
 
Kwa Tanzania hakuna shirika lenye nidhamu ya juu kama NHIF.
EBD HUMBA amelitumikia shirika kwa uadilifu wa hali ya juu sana. Nadhani ni shirika pekee lisilotumia magari ya ofisi kuchukua na kupeleka wafanyakazi makwao akiwemo Mkurugenzi mkuu. Anasitahiri kuongezewa mda
Mkurugenzi wa NHIF
kuongezewa muda wa kuliongoza shirika ikiwa ameshatimiza muda wa
kustaafu. Hivi serikali yetu inatupeleka wapi.
 
kwani ulikatazwa kwenda kuchukua kadi? Watz ndo mlivyo hata haki yako hataki kuchukua wasubiri uletewe,kazi kulalamika bure
Unyonyaji wa hali ya juu mtu kadi huna makato yanaendelea utafikiri kodi ya laini ya simu
 
Back
Top Bottom