5G vs Starlink

5G vs Starlink

Ifike muda mkubali tu, suala la starlink kujipanua zaidi ni suala la kupongeza, sio mnaponda tu... ukizingatia ni kampuni mpya kwenye biashara ya internet..

5G yenyewe kwenye coverage ni upuuzi mtupu..
Ukiingia website za mitandao ya ndani ukitizama coverage ya 5G unaweza kulia...
Na wengi wanadanganywa kwamba 4G+ tena iliyopo baadhi ya maeneo kwamba ndio 5G...

Hebu leta ramani ya 5G coverage kwa Tanzania..
Mkuu, ile ikija Bongo, na kweli watu wakaafford, sema madalali kwenye vifaa bei ni mkasi. Ila speed yake acha kabisa. Asikwambie mtu. ni pya pya. Sijui utaifanyia nini. Itabaki kama pambo tu. Haya ya kushusha movie na nini ni sekunde tuuu. Hata dakika haifiki
 
Bei chee kiasi gani?

Kama hizi data ni sahihi

Vifurushi vyetu ni bora zaidi.
Yeah vifurushi speed ya kobe visivyopatikana ni bora sana
 
Star link imeshakuja bongo? Kama bado CCM waache ujinga, hii mijitu serikali inaboa sana ikiendesha V8 za ufisadi inasahau kila kitu…yaani🙁
 
Unahitaji 200mbps kufanya nini? Tuanze na hapo, tushayazungumzia sana huko nyuma, you don't need more than 40mbps matumizi ya kawaida Nyumbani unless una familia kubwa sana mnashare ama una ofisi kubwa na wafanyakazi wengi.

Sasa hivi Even 4k streaming Netflix, YouTube na wafananiao ni 15mbps minimum, ukiwa na 40mbps unaweza ukawa na stream mbili za 4k nyumbani na bado wengine wakawa wanatumia Internet kawaida.

Lakini ping ikiwa nzuri zaidi it's better, utacheza games online, utapata stable video call, browsing itakua faster etc.

Na trust me mkuu kama huna hio 10mbps sasa hivi hata ikija starlink hutakua nayo, logic rahisi kabisa.

Pia mkuu mimi sio mtu wa mjini, nimekulia wilayani, nimesoma vijijini, na nimefanya kazi vijiji vingi,

Tena advantage ya vijijini hata 3G sometime unapata 10mbps+ sababu mnara mzima mpo wachache, 4G kukiwa hakuna msongamano nyingi zinatoboa 100mbps+.
Unahitaji 200mbps kufanya nini? Tuanze na hapo, tushayazungumzia sana huko nyuma, you don't need more than 40mbps matumizi ya kawaida Nyumbani unless una familia kubwa sana mnashare ama una ofisi kubwa na wafanyakazi wengi.

Sasa hivi Even 4k streaming Netflix, YouTube na wafananiao ni 15mbps minimum, ukiwa na 40mbps unaweza ukawa na stream mbili za 4k nyumbani na bado wengine wakawa wanatumia Internet kawaida.

Lakini ping ikiwa nzuri zaidi it's better, utacheza games online, utapata stable video call, browsing itakua faster etc.

Na trust me mkuu kama huna hio 10mbps sasa hivi hata ikija starlink hutakua nayo, logic rahisi kabisa.

Pia mkuu mimi sio mtu wa mjini, nimekulia wilayani, nimesoma vijijini, na nimefanya kazi vijiji vingi,

Tena advantage ya vijijini hata 3G sometime unapata 10mbps+ sababu mnara mzima mpo wachache, 4G kukiwa hakuna msongamano nyingi zinatoboa 100mbps+.
Speed ≠ Luxury, ni Time Saving..
Kupakua Game ya 50GB kwa 10Mbps = masaa 11+
Kwa 200Mbps = chini ya saa 1

Familia nyingi, matumizi mengi kwa wakati mmoja..

Nyumba yenye watoto watatu hadi wanne, kila mmoja ana tablet/simu/laptop, wana stream YouTube, Netflix, online

classes au gaming — 40Mbps inashindwa kushika kasi...


Ukiwa na 200Mbps unaweza ku-serve vifaa 10+ bila congestion, latency au buffering...


Hata kama mtu mmoja ana stream 4K, hiyo ni 15Mbps peke yake sasa je, wengine watafanya nini? Kubrowse kwa tabu? Ku cancel Zoom call? Kuforce watu kutumia Wi-Fi kwa zamu?

10Mbps ni sawa kama unaishi peke yako au unatumia kwa basic sana. Lakini nyumba ya kisasa yenye vifaa 5 hadi 10 connected hiyo speed ni mateso.

ijiji vingi Tanzania, hata hiyo 3G inashika kwa tabu au iko edge tu, usisahau kuna maeneo mengi ambayo hata voice call ni tatizo, achilia mbali data ya 10Mbps..

Na kingine ukiwa na 200Mbps si lazima iwe wewe peke yako unaitumia. Hiyo ni speed ya kutosha kabisa kugawana na watu wengine jirani wawili au watatu kila mmoja akapata 50–70Mbps bila pressure... Ukigawana na watu 3/4 tu, kila mtu anatoa kiasi fulani huoni ni faida hio... kuliko 10Mbps hapo kila mmoja anapata average 50Mbps.. Kenya unlimited starlink ni 6500 Kshs.. sawa na 130,000.. ukigawa kwa 4, kila mmoja anatoa 32,000 Tshs... kwa 50 Mbps ambayo kwa huko kwenye ma fiber yenu 40 Mbps unalipia karibu 150K..
 
Hapana mkuu. Jamaa walijipanga si huu usenge. Wanatumia minara.
Bei zao hizo ni faranga za Rwanda. Sh ni kama double ya hiyo hapo.
View attachment 3358189

View attachment 3358191

View attachment 3358194
Bei zao nzuri sana, ni almost bei zetu hapa ni mara mbili yao..
Hio 2 GB naona kwao ni kama 2000 Tshs ambapo hapa 1GB unalipia 2000 Tshs hio hio..

Jamaa wapo vizuri, bei zao zipo chini vibaya sana provided kwamba ni cellular data inatumia minara.... nimependa hii..
 
Mkuu, MTN haina tofauti na Vodacom, Airtel na wengine. KTRN Ni Retailer wa 4G. Sasa hivi ndo anaprovide na voice, baada ya hao MTN na Airtel kuona hawapati wateja tena. Huyo ni 4G kweli kweli, huwezi kujutia ulichonunua. Hiyo MTN hata 3G yao ni kilio tu. Haina tofauti na 2G
Rwanda kulikua na mkataba KTRN pekee wanatoa 4G wengine wawe na 3G na 2G uliisha juzi juzi hapa. So ilikua ni by design wawe na speed kubwa kuliko wengine.

Pia kwenye hio link wameweka vifurushi vyao KTRN


  • Volume based:
    • 1 GB for 24 hours: RWF 800
    • 1 GB for 30 days: RWF 1500
    • 3 GB for 30 days: RWF 3250
    • 5 GB for 30 days: RWF 9000
    • 10 GB for 30 days: RWF 15,000
    • 30 GB for 30 days: RWF 35,000
    • 50 GB for 30 days: RWF 68,000
    • 100 GB for 30 days: RWF 130,000
  • Time based:
    • 500 MB per day for 30 days: RWF 10,500
    • 1 GB per day for 30 days, beyond @ 128 kbps: RWF 21,000
    • 3 GB per day for 30 days, beyond @ 256 kbps: RWF 57,000
    • 4 GB per day for 30 days, beyond @ 512 kbps: RWF 75,000
Kwenye Volume based Sme zetu zote Tigo/voda/Airtel unapata zaidi.

Mfano hapo 30GB kwa RWF 35,000 (TSh 65,000) sisi kwetu unaweza ipata kwa 30,000 tu sometime chini ya hapo.

Same kwa Volume based, now Tcra wameua unlimited za Bei chini kama Royal ya Halotel ila Unlimited zetu still zinakupa value zaidi.

Voda ya 50,000 inatembea 512kb-1mbps kutokana na ushuhuda humu wao utahitaji so chini ya laki. Same kwa Halotel kwa 50,000 unapata 100GB za kasi na unlimited inayomatch ama kupita hio 512kbps.

Na ukumbuke hizo ni data only sim, inabidi uwe na line nyengine ya kupiga na kupokea simu, so simu iwe na line mbili.
 
Speed ≠ Luxury, ni Time Saving..
Kupakua Game ya 50GB kwa 10Mbps = masaa 11+
Kwa 200Mbps = chini ya saa 1

Familia nyingi, matumizi mengi kwa wakati mmoja..

Nyumba yenye watoto watatu hadi wanne, kila mmoja ana tablet/simu/laptop, wana stream YouTube, Netflix, online

classes au gaming — 40Mbps inashindwa kushika kasi...


Ukiwa na 200Mbps unaweza ku-serve vifaa 10+ bila congestion, latency au buffering...


Hata kama mtu mmoja ana stream 4K, hiyo ni 15Mbps peke yake sasa je, wengine watafanya nini? Kubrowse kwa tabu? Ku cancel Zoom call? Kuforce watu kutumia Wi-Fi kwa zamu?

10Mbps ni sawa kama unaishi peke yako au unatumia kwa basic sana. Lakini nyumba ya kisasa yenye vifaa 5 hadi 10 connected hiyo speed ni mateso.

ijiji vingi Tanzania, hata hiyo 3G inashika kwa tabu au iko edge tu, usisahau kuna maeneo mengi ambayo hata voice call ni tatizo, achilia mbali data ya 10Mbps..

Na kingine ukiwa na 200Mbps si lazima iwe wewe peke yako unaitumia. Hiyo ni speed ya kutosha kabisa kugawana na watu wengine jirani wawili au watatu kila mmoja akapata 50–70Mbps bila pressure... Ukigawana na watu 3/4 tu, kila mtu anatoa kiasi fulani huoni ni faida hio... kuliko 10Mbps hapo kila mmoja anapata average 50Mbps.. Kenya unlimited starlink ni 6500 Kshs.. sawa na 130,000.. ukigawa kwa 4, kila mmoja anatoa 32,000 Tshs... kwa 50 Mbps ambayo kwa huko kwenye ma fiber yenu 40 Mbps unalipia karibu 150K..
Boss gaming hata 1mbps ni luxury unless hujui online gaming inafanya vipi kazi.


Internet ya 5mbps latency 1ms na Internet ya 1gbps latency 50ms zikikutana kwenye game na skills sawa basi ujue 1gbps anakalishwa, nakwambia hivi kama competitive gamer ambaye maisha yangu yote na chase good ping, wiki nzima unaweza usitumie hata mb 100 na unacheza games masaa kwa siku. Games zinatumia data kidogo na zinataka ping nzuri.

Video za watoto wanazo angalia 720p-1080p hizo si 2mbps tu?

Mfano hii Video ya Neo ya watoto unaona hapo mb zake na resolution
Screenshot_20250606_185332_NewPipe.jpg


Video ya lisaa limoja

573MB kwa 1080p
280MB kwa 720P

Do simple math

573 x 8 = 4584 gawanya kwa 3600 ni 1.2mbps

280 x 8 = 2240 gawanya kwa 3600 ni 0.6mbps

Kwa hizo bandwidth labda uwe na watoto 10-15 ndio wakuzibie Bandwidth.

Na Games la GB 50 unadownload mangapi kwa mwezi? Unless una biashara ya library unaweza usidownload game miezi, maana game ni kitu unadownload kisha unacheza kwa muda mrefu, kama ni Fifa linatoka moja kila mwaka, Gta linatoka baada ya miaka etc.

Pia starlink
1. Huruhusiwi kushare wakijua wanaku suspend
2. Ina throttle ya 1TB mnavyokua wengi ndio jinsi mnamaliza 1TB mapema na ndio jinsi wana throttle speed.
 
Boss gaming hata 1mbps ni luxury unless hujui online gaming inafanya vipi kazi.


Internet ya 5mbps latency 1ms na Internet ya 1gbps latency 50ms zikikutana kwenye game na skills sawa basi ujue 1gbps anakalishwa, nakwambia hivi kama competitive gamer ambaye maisha yangu yote na chase good ping, wiki nzima unaweza usitumie hata mb 100 na unacheza games masaa kwa siku. Games zinatumia data kidogo na zinataka ping nzuri.

Video za watoto wanazo angalia 720p-1080p hizo si 2mbps tu?

Mfano hii Video ya Neo ya watoto unaona hapo mb zake na resolution
View attachment 3358231

Video ya lisaa limoja

573MB kwa 1080p
280MB kwa 720P

Do simple math

573 x 8 = 4584 gawanya kwa 3600 ni 1.2mbps

280 x 8 = 2240 gawanya kwa 3600 ni 0.6mbps

Kwa hizo bandwidth labda uwe na watoto 10-15 ndio wakuzibie Bandwidth.

Na Games la GB 50 unadownload mangapi kwa mwezi? Unless una biashara ya library unaweza usidownload game miezi, maana game ni kitu unadownload kisha unacheza kwa muda mrefu, kama ni Fifa linatoka moja kila mwaka, Gta linatoka baada ya miaka etc.

Pia starlink
1. Huruhusiwi kushare wakijua wanaku suspend
2. Ina throttle ya 1TB mnavyokua wengi ndio jinsi mnamaliza 1TB mapema na ndio jinsi wana throttle speed.
Sijagusia online gaming, na ninaelewa umuhimu wa latency kwenye online gaming...
Starlink Kenya sasa wanapata latency hadi ya 30ms hadi 40ms ambayo haina tofauti namitandao ya simu pengine ikawa juu nzuri kuwazidi..
Hapo kwenye online gaming hata starlink unaheza game vizuri sana..

Mara ya kwanza tumezungumza ku stream 4k kwenye netflix ukasema inafika hadi 15Mbps...
Nikasema uwe una stream Netflix 4K na hio 10Mbps halafu na watumaiji wengine watatu tu wapo tiktok..
Usilete siasa za sijui 1080 HD inatosha, sijui 720p..
Pia katika kile unachokisema ni katika nadharia tu lakini kiuhalisia watu wanne na TV moja ina stream HD tu, utaanza kuona hio 10Mbps yako inavyohangaika na ku buffer.. naelewa na nimeitumia sana..
 
Sijagusia online gaming, na ninaelewa umuhimu wa latency kwenye online gaming...
Starlink Kenya sasa wanapata latency hadi ya 30ms hadi 40ms ambayo haina tofauti namitandao ya simu pengine ikawa juu nzuri kuwazidi..
Hapo kwenye online gaming hata starlink unaheza game vizuri sana..

Mara ya kwanza tumezungumza ku stream 4k kwenye netflix ukasema inafika hadi 15Mbps...
Nikasema uwe una stream Netflix 4K na hio 10Mbps halafu na watumaiji wengine watatu tu wapo tiktok..
Usilete siasa za sijui 1080 HD inatosha, sijui 720p..
Pia katika kile unachokisema ni katika nadharia tu lakini kiuhalisia watu wanne na TV moja ina stream HD tu, utaanza kuona hio 10Mbps yako inavyohangaika na ku buffer.. naelewa na nimeitumia sana..
4G na 5G hapa mostly ni chini ya 30ms. Ni zaidi ya starlink, pia starlink kila baada ya muda fulani ina change satelite hivyo ku drop connection kama ni competitive gamer anaelewa hapa kuna review nzuri tu ya gaming kwenye starlink tena imefanywa na v4 kwenye ping ya 20-30ms



Pia Mimi nimeongelea Netflix nikasema huhitaji zaidi ya 40mbps. Cheapest 40mbps Tanzania ni Savannah 60,000 kwa bei ya starlink 100,000 - 150,000 unapata Options kibao za 30mbps-100mbps. Hivyo nikaonesha huhitaji zaidi ya 40mbps kupata streaming za kutosha nyumbani.

Wewe ukasema watoto wa siku hizi wana tablet wanastream video, nikakupa jibu jengine video za watoto hazina load kubwa kwenye network, kama unavyoona 1080p ina chukua just 1.2mbps mostly video za watoto hata hio 1080p zinaweza zisifike, wachache wana production capacity kuproduce kwa 1080p ama 4k.
 
Rwanda kulikua na mkataba KTRN pekee wanatoa 4G wengine wawe na 3G na 2G uliisha juzi juzi hapa. So ilikua ni by design wawe na speed kubwa kuliko wengine.

Pia kwenye hio link wameweka vifurushi vyao KTRN


  • Volume based:
    • 1 GB for 24 hours: RWF 800
    • 1 GB for 30 days: RWF 1500
    • 3 GB for 30 days: RWF 3250
    • 5 GB for 30 days: RWF 9000
    • 10 GB for 30 days: RWF 15,000
    • 30 GB for 30 days: RWF 35,000
    • 50 GB for 30 days: RWF 68,000
    • 100 GB for 30 days: RWF 130,000
  • Time based:
    • 500 MB per day for 30 days: RWF 10,500
    • 1 GB per day for 30 days, beyond @ 128 kbps: RWF 21,000
    • 3 GB per day for 30 days, beyond @ 256 kbps: RWF 57,000
    • 4 GB per day for 30 days, beyond @ 512 kbps: RWF 75,000
Kwenye Volume based Sme zetu zote Tigo/voda/Airtel unapata zaidi.

Mfano hapo 30GB kwa RWF 35,000 (TSh 65,000) sisi kwetu unaweza ipata kwa 30,000 tu sometime chini ya hapo.

Same kwa Volume based, now Tcra wameua unlimited za Bei chini kama Royal ya Halotel ila Unlimited zetu still zinakupa value zaidi.

Voda ya 50,000 inatembea 512kb-1mbps kutokana na ushuhuda humu wao utahitaji so chini ya laki. Same kwa Halotel kwa 50,000 unapata 100GB za kasi na unlimited inayomatch ama kupita hio 512kbps.

Na ukumbuke hizo ni data only sim, inabidi uwe na line nyengine ya kupiga na kupokea simu, so simu iwe na line mbili.
Kama kweli ni mtumiaji mzuri wa Internet, umeexperience Bandwidth Management. Hapo ndo kuna tofauti. Bei za Internet ya KTRN Rwanda, zipo chini kuliko za MTN,Airtel,Tigo,Vodacom,.......... Mi ni mtumiaji wa hivyo vitu, Internet Tanzania ni expensive na ni slow. Hivi, unadhani Voda au Tigo wanapata wapi wao? Hujawahi jiuliza hizo downlink za 10Mbps kwa nini hata wewe pekee huwezi ipata? Kwa nini kuna shared na dedicated?


Rwanda huko, unajua kilichofanya huo mkataba na KTRN uvunjwe ni nini? Unadhani wamelipwa gharama ndogo, baada ya kuweza kucover above 95% ya nchi kwa mfumo wa 4G? Hawa watu wa mitandao, mfano Airtel, si wanatangaza wana Router za 5G? Ukiwa na 4G inayofanya vizuri, utahangaika na 5G? Wote waongo waongo tu.

Rwanda hiyo, baada ya kupokea Starlink, japokuwa bado wanaoimudu ni makampuni makubwa na taasisi za serikali, gharama zake usidhani ni haba.

Vitu vingine unaweza ukacompare, lakini kwenye Internet, affordability, reliability na performance, Rwanda ipo mbali
 
Bei zao nzuri sana, ni almost bei zetu hapa ni mara mbili yao..
Hio 2 GB naona kwao ni kama 2000 Tshs ambapo hapa 1GB unalipia 2000 Tshs hio hio..

Jamaa wapo vizuri, bei zao zipo chini vibaya sana provided kwamba ni cellular data inatumia minara.... nimependa hii..
Hao KTRN, ni retailer. kwa hiyo wanaouza rejareja ndo wa bei hiyo. Tofauti ni kwamba unaipata kama ilivyo, 4G yako kama device yako inapokea 4G, utaenjoy. Maana wanatumia simcard, au visimu vidogo vya 4G.

Na uzuri kwao coverage, ni uhakika. Kwa hiyo usipoenda kwenye mambo ya streaming au matumizi makubwa, wapo vizuri sana.
Kwa mwenye matumizi makubwa, hakika unanunua kulingana na mfuko wako.
 
Kama kweli ni mtumiaji mzuri wa Internet, umeexperience Bandwidth Management. Hapo ndo kuna tofauti. Bei za Internet ya KTRN Rwanda, zipo chini kuliko za MTN,Airtel,Tigo,Vodacom,.......... Mi ni mtumiaji wa hivyo vitu, Internet Tanzania ni expensive na ni slow. Hivi, unadhani Voda au Tigo wanapata wapi wao? Hujawahi jiuliza hizo downlink za 10Mbps kwa nini hata wewe pekee huwezi ipata? Kwa nini kuna shared na dedicated?


Rwanda huko, unajua kilichofanya huo mkataba na KTRN uvunjwe ni nini? Unadhani wamelipwa gharama ndogo, baada ya kuweza kucover above 95% ya nchi kwa mfumo wa 4G? Hawa watu wa mitandao, mfano Airtel, si wanatangaza wana Router za 5G? Ukiwa na 4G inayofanya vizuri, utahangaika na 5G? Wote waongo waongo tu.

Rwanda hiyo, baada ya kupokea Starlink, japokuwa bado wanaoimudu ni makampuni makubwa na taasisi za serikali, gharama zake usidhani ni haba.

Vitu vingine unaweza ukacompare, lakini kwenye Internet, affordability, reliability na performance, Rwanda ipo mbali
Boss nimeweka vifurushi sio bei rahisi, Vifurushi kama vya Sme Tanzania ni bei rahisi zaidi, Roughly Sme Tanzania unapata ratio ya 1000 kwa 1GB wao hawapati hio same kwa Unlimited za Mitandao ya simu, zetu zipo vizuri zaidi

Na speed gani unayozungumzia wewe? Maana Rwanda 5G wamezindua mwezi huu wa Tano sisi tuna to mda na 4G yetu ni lte advanced ambayo ipo way faster.
Screenshot_20250607_102344_Samsung Internet.jpg

Hio speed test ya 4G tena hapo nipo eneo lipo condested sana usual ikitulia unatoboa zaidi ya 100mbps. Kwa Halotel nishawahi hadi kufika 200mbps. Then tuje kwenye ushahidi zaidi twende Ookla waangalie on average Watanzania na wanyarwanda wakienda kutest speed zao nani ana speed kubwa?

Latest Data za speed Rwanda ni mwezi wa 05 2024
Screenshot_20250607_103930_Samsung Internet.jpg

According to Ookla median download speed ni 23.15 Mbps

Tuangalie na Tanzania at same time frame mwezi wa 05 2024
Screenshot_20250607_104152_Samsung Internet.jpg

30.78 Mbps ranke 86 Duniani.

Mtandao kama Tigo Tanzania Sasa hivi on average ni 68mbps hio ndio median Speed na 5G yao 1gbps,

Since MTN Rwanda wamezidua 5G

15mbps rfW 55,000 (zaidi ya laki ) kifurushi cha bei rahisi zaidi ili uenjoy 5G, utafananisha na Tanzania kweli?

So. Si Kweli mkuu wametupita unless una data zako umeficha hujaweka humu.
 
Back
Top Bottom