RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,506
- 135,539
Kila siku tunajifunza kitu kipya. Leo nimejifunza.Kwani inashindikana nini lakini. Mjue nashangaa kama vile hamjawahi kupendqa mnavyohukumu kwamba hamna mwanamke wa hivyo.
Kila siku tunajifunza kitu kipya. Leo nimejifunza.Kwani inashindikana nini lakini. Mjue nashangaa kama vile hamjawahi kupendqa mnavyohukumu kwamba hamna mwanamke wa hivyo.
Huyo huyo unayemuambia anatema madini, juzi hapa alikuwa anasema anapenda mwanaume anayemiliki gariNaona unatema madini tu
Tatizo hakua mwarabu. Ni huyo mwanamke alifuata pesa kwa mwarabu. Mtu kama hakupendi hata umpe dunia hawezi kufurahia sana sana atachukua jwa sababu ana shida.Hapo inategemeana na mwanaume jinsi atakavyoendesha mambo. Akiwa na ratiba nzuri za kusimamia mambo yake atakuwa na muda pia wa kukaa na mke/mwanamke wake bila tatizo kabisa.
Japo wapo ambao wako addicted nakutafuta pesa, hata kama anazo nyingi anaona haitoshi anaendelea kukaza ili apate zaidi kiasi kwamba anakosa muda wakukaa pamoja na familia yake hapo ndipo anaamua kuwatimizia kila ili aendee na shughuli zake.
Kutokuwa karibu na unayempenda pia ni changamoto hata kama anakutimizia kila kitu.
Kwani wanawake wameanza kupenda hela karne gani?Uongo upo tu hauepukiki hata kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila siku tunajifunza kitu kipya. Leo nimejifunza.
Hivi kwani si iliulizwa kati ya gari na nyumba. Au ilikia kati ya gari na mapenzi napenda nini?Huyo huyo unayemuambia anatema madini, juzi hapa alikuwa anasema anapenda mwanaume anayemiliki gari
Hii karne ndio hili suala limepamba moto sana maana linachochewa na utandawazi uliopo kwa sasaKwani wanawake wameanza kupenda hela karne gani?
Sasa kwenye hiyo mada kama kweli ulikuwa na mtazamo kama huu, ningetarajia utoe jibu kama hapa. Maana vile vyote vilivyoulizwa sio vielelezo vya upendo wa dhatiHivi kwani si iliulizwa kati ya gari na nyumba. Au ilikia kati ya gari na mapenzi napenda nini?
Wanawake wanapenda hela enzi na enzi Mwifwa.Hii karne ndio hili suala limepamba moto sana maana linachochewa na utandawazi uliopo kwa sasa
Hilo sipingi ila hii karne ndio wamezidi zaidiWanawake wanapenda hela enzi na enzi Mwifwa.
Yani liulizwe swali la maji na bia nijibu mchanga kweli? Embi bwana. Swali lilikua ni nyumba na gari. Jibu ni kati ya A au B we ukataka nijibu C. Ila ukweli ndo huo. Acheni kupenda wanawake wasiowapenda ndo maana wanawakomesha kwa kuwaomba helaSasa kwenye hiyo mada kama kweli ulikuwa na mtazamo kama huu, ningetarajia utoe jibu kama hapa. Maana vile vyote vilivyoulizwa sio vielelezo vya upendo wa dhati
Nimesahau kuweka neno LEOHuyo huyo unayemuambia anatema madini, juzi hapa alikuwa anasema anapenda mwanaume anayemiliki gari
Kuchagua ni kupanga. Ukiona anataka hela katafute asietaka hela. Tatizo yule anaetaka hela ndo wewe ushamdondokea basi unajikuta unatoa hela kishingo upande wakati ulikua una uwezo wa kutafuta wa size yako.Hilo sipingi ila hii karne ndio wamezidi zaidi
SawaNimesahau kuweka neno LEO
Sentensi ya mwisho ni madiniYani liulizwe swali la maji na bia nijibu mchanga kweli? Embi bwana. Swali lilikua ni nyumba na gari. Jibu ni kati ya A au B we ukataka nijibu C. Ila ukweli ndo huo. Acheni kupenda wanawake wasiowapenda ndo maana wanawakomesha kwa kuwaomba hela
Mara umenigeuka jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimesahau kuweka neno LEO
Ndio maana tunasema ambao hawataki/pesa sio kipaumbele kwenye mahusiano ni wachache.Kuchagua ni kupanga. Ukiona anataka hela katafute asietaka hela. Tatizo yule anaetaka hela ndo wewe ushamdondokea basi unajikuta unatoa hela kishingo upande wakati ulikua una uwezo wa kutafuta wa size yako.
Pole.... Vp nikutafutie huku au utakomaa na hao wapenda pesa?Pacha hapo ndio patamu sasa, sio huku bila pesa humpati mwanamke
Hahaaa wewe born-town utawakubali watoto wa huku kijijini?Hebu nielekeze nije huko asap