Swala la vifurushi hata ukisoma post yangu hadi mwisho utaona nimelizungumzia. Hapa nilipo Mkuu nina line za Tigo, Halotel, Vodacom, na TTCL na kusema ukweli sioni utofauti mkubwa wa bei kati ya hii mitandao (kwa sisi tusio na line za chuo). Vodacom na Tigo vifurushi vyao utadhani wamepanga pamoja.. Ttcl ndio kidogo afadhali kwenye hii mitandao ya 4g. 800mb kwa 1000 tshs.Mtoa mada umekuja na hii post kwa sababu unajua nini kinachoendelea Voda kwa sasa...
Vifurushi vyao vipo juu na speed ya internet yao imekua mbovu sana mwezi huu wote...
Cc: mahondaw
Tigo kwa 1800 mjiniMkuu hiyo speed test ya Tigo, nimetest hapa kitaaa kwetu ambapo mnara wangu wa karibu ni wa band 20 (800mhz). View attachment 737421
Voda ni mjini tu, ukitoka nje ya mji ni ovyo kabisa,
Umenikumbusha mbali enzi za Waptrick kipindi hiko[emoji38]
Malipo baada ya huduma?*Vodacom na halotel pata GB 900* *dakika 9000 MITANDAO yote na SMS bila kikomo *kwa miez 12 = 30000TSH*
*Tigo na airtel* *dakika* *9500mitandao yote GB* *800 na SMS bila kikomo* *kwa miez 12 =30000TSH*
*Huduma nyingine* *unaweza kuwezeshwa* *kuwa wakala wa*
*M_PESA*
*Tigo pesa*
*Airtl money* gharama yake ni **110000* hii utapata commission unayostahili hakuna ujanja ujanja .
*Pia unaweza* *ukawezeshwa kuwa* *wakala wa ** kuunganisha vifurushi na utaelekezwa jinsi ya kuunganisha ndani ya dakika 20
Fafanua mzee japo kidogo*Vodacom na halotel pata GB 900* *dakika 9000 MITANDAO yote na SMS bila kikomo *kwa miez 12 = 30000TSH*
*Tigo na airtel* *dakika* *9500mitandao yote GB* *800 na SMS bila kikomo* *kwa miez 12 =30000TSH*
*Huduma nyingine* *unaweza kuwezeshwa* *kuwa wakala wa*
*M_PESA*
*Tigo pesa*
*Airtl money* gharama yake ni **110000* hii utapata commission unayostahili hakuna ujanja ujanja .
*Pia unaweza* *ukawezeshwa kuwa* *wakala wa ** kuunganisha vifurushi na utaelekezwa jinsi ya kuunganisha ndani ya dakika 20
*Vodacom na halotel pata GB 900* *dakika 9000 MITANDAO yote na SMS bila kikomo *kwa miez 12 = 30000TSH*
*Tigo na airtel* *dakika* *9500mitandao yote GB* *800 na SMS bila kikomo* *kwa miez 12 =30000TSH*
*Huduma nyingine* *unaweza kuwezeshwa* *kuwa wakala wa*
*M_PESA*
*Tigo pesa*
*Airtl money* gharama yake ni **110000* hii utapata commission unayostahili hakuna ujanja ujanja .
*Pia unaweza* *ukawezeshwa kuwa* *wakala wa ** kuunganisha vifurushi na utaelekezwa jinsi ya kuunganisha ndani ya dakika 20
Wewe mpumbavu kawakamate wapumbavu wenzio*Vodacom na halotel pata GB 900* *dakika 9000 MITANDAO yote na SMS bila kikomo *kwa miez 12 = 30000TSH*
*Tigo na airtel* *dakika* *9500mitandao yote GB* *800 na SMS bila kikomo* *kwa miez 12 =30000TSH*
*Huduma nyingine* *unaweza kuwezeshwa* *kuwa wakala wa*
*M_PESA*
*Tigo pesa*
*Airtl money* gharama yake ni **110000* hii utapata commission unayostahili hakuna ujanja ujanja .
*Pia unaweza* *ukawezeshwa kuwa* *wakala wa ** kuunganisha vifurushi na utaelekezwa jinsi ya kuunganisha ndani ya dakika 20
😂 😂 😂 😂 😂 😂Naskia harufu ya kupigwa hela hapa wakuuu
"ile hela tuma kwenye namba hii "*Vodacom na halotel pata GB 900* *dakika 9000 MITANDAO yote na SMS bila kikomo *kwa miez 12 = 30000TSH*
*Tigo na airtel* *dakika* *9500mitandao yote GB* *800 na SMS bila kikomo* *kwa miez 12 =30000TSH*
*Huduma nyingine* *unaweza kuwezeshwa* *kuwa wakala wa*
*M_PESA*
*Tigo pesa*
*Airtl money* gharama yake ni **110000* hii utapata commission unayostahili hakuna ujanja ujanja .
*Pia unaweza* *ukawezeshwa kuwa* *wakala wa ** kuunganisha vifurushi na utaelekezwa jinsi ya kuunganisha ndani ya dakika 20
Mimi natoa bure hii huduma, smartphone yako tu*Vodacom na halotel pata GB 900* *dakika 9000 MITANDAO yote na SMS bila kikomo *kwa miez 12 = 30000TSH*
*Tigo na airtel* *dakika* *9500mitandao yote GB* *800 na SMS bila kikomo* *kwa miez 12 =30000TSH*
*Huduma nyingine* *unaweza kuwezeshwa* *kuwa wakala wa*
*M_PESA*
*Tigo pesa*
*Airtl money* gharama yake ni **110000* hii utapata commission unayostahili hakuna ujanja ujanja .
*Pia unaweza* *ukawezeshwa kuwa* *wakala wa ** kuunganisha vifurushi na utaelekezwa jinsi ya kuunganisha ndani ya dakika 20
Wezi tu hawa hamna lolote bora nibaki 3g ya halotelNahisi kwa voda hyo 4G ipo kwenye kula vifurushi..Sitasahau siku niliunga 2gb ya voda niangalie movie kwenye kismart changu..haikupita daka tano nikapata msg zimebakib 100.