Queen unaniruhusu niisome hii posti yako kwa mawani yangu, au niiangalie hivyo hivyo na macho yangu yakiwa uchi?:llama::llama:
huitaji mawani
Queen unaniruhusu niisome hii posti yako kwa mawani yangu, au niiangalie hivyo hivyo na macho yangu yakiwa uchi?:llama::llama:
We jana ilikuwaje ukaikimbia signature?
Unywaji (hasa wa bia) hauhitaji meno, hata kibogoyo anakunywa!!ray2:
Ahaa, nisome kavukavu siyo....haya ngoja nikupitie hapo tukapate supu! toka nje hapo:llama::llama:huitaji mawani
Lionnel Messi kumbe yuko Majeruhi?:A S 13::A S 13::fencing:....unamfahamu beki aitwaye Nemanja Vidic wewe?? Anacheza mpira wa miguu...timu yake yaitwa Man U....dah...sorry :closed_2:
Lionnel Messi kumbe yuko Majeruhi?:A S 13::A S 13:
hahaa :A S 13::A S 13:
kama ni BF huo ndo mwisho wa mahusiano, kama ni mme nakunyima mwaka mzima
:fencing:....unamfahamu beki aitwaye Nemanja Vidic wewe?? Anacheza mpira wa miguu...timu yake yaitwa Man U....dah...sorry :closed_2:
Lionnel Messi kumbe yuko Majeruhi?:A S 13::A S 13:
Hahahaa.......kwa jinsi vidic alivyokamia hata ungekua na lionel messi, ronado, torez, dorgba na bebatov kwa pamoja isingesaidia...
kama ni BF huo ndo mwisho wa mahusiano, kama ni mme nakunyima mwaka mzima
na nyie mshaanza kucheza mpira kwenye Sredi ya watu...Kweli hizi vitu ziko damumi ..haya jana Arsenal ikawaje?
Apologies FL1....
Hivi ulipigwa vibao vingapi kwani....
Apologies FL1....
Hivi ulipigwa vibao vingapi kwani....
Mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia
Mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia
Safi sana....hapo umebakiza kuingia mbinguni tu....:A S wink:Mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia
Sasa hapo si utakuwa umepigwa kote kote? Mungu hapendi! Au unazungumzia shavu lipi manake kuna shavu na kuna SHAVU!
FL1 huu usemi una maana nyingi sana sasa sijui ni kibao tu au hata na mambo mengine
Akikujibu usisahau kunukuu mheshimiwa katibu...kwa ajili ya future plans:blah:
nazungumzia shavu kama shavu sio hilo unalojua weweSasa hapo si utakuwa umepigwa kote kote? Mungu hapendi! Au unazungumzia shavu lipi manake kuna shavu na kuna SHAVU!
FL1 huu usemi una maana nyingi sana sasa sijui ni kibao tu au hata na mambo mengine
Safi sana....hapo umebakiza kuingia mbinguni tu....:A S wink:
Hivi kuna ambavyo vimeandikwa ila nashindwa kuvisoma?? Hii jumatatu bana...:A S tongue:
hahahaha nimemjibu naona anajaribu kufanya maana tofauti sijui nimsaidieje .....
nazungumzia shavu kama shavu sio hilo unalojua wewe
naomba maana yake unayojua wewe The Finest te te te
Pale wateule watakapokuja kuchakachuliwa naamini mungu hataniweka pembeni ..are you happy now?:decision:
FL1 nahisi uko na valuer pembeni hapo si kawaida haya majibu unayotoa leo ni kama vile memba ISC