Mgodi mmoja wa dhahabu mkoani Mwanza kilometa 50 kutoka Misungwi kuna ajali mgodi wa dhahabu umeangukia na kuua watu zaidi ya kumi sasa hivi. Habari zaidi baadae
Mgodi mmoja wa dhahabu mkoani Mwanza kilometa 50 kutoka Misungwi kuna ajali mgodi wa dhahabu umeangukia na kuua watu zaidi ya kumi sasa hivi. Habari zaidi baadae
wamekufa wat au makaburu?
kafara hizo
Hivi majambazi nao ni watu wenye uchungu na mali zao nchi?Huko huko Geita kuna mwingine umevamiwa na wananchi wenye uchungu wa mali yao huku mkoloni alikuwa akisafirisha vitofali 34 vya dhahabu vyenye kilo 24kg kila kimoja.