Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,756
- 13,856
Harakati ni nyingi sana au unashare simu 😅😅😅Npo kaka
Hao haki yao ila me yangu nimekupa wewe kusogeza siku tu
Nashare simu😂😂Harakati ni nyingi sana au unashare simu 😅😅😅
Kuna mwamba amepita hapa anauza samsung elf ishirin na Saba nikuletee 😅Nashare simu😂😂
Nichukulie tu hata hyo hyo ndugu yangu 😁Kuna mwamba amepita hapa anauza samsung elf ishirin na Saba nikuletee 😅
Nakufosia tukutane baaday uwanja wa fisiNichukulie tu hata hyo hyo ndugu yangu 😁
Poa poa ngoja nimrudishie huyu jamaa kisimu chake cha ajabu 😁Nakufosia tukutane baaday uwanja wa fisi
Usimtukane mamba kabla hujavuka mto 😅Poa poa ngoja nimrudishie huyu jamaa kisimu chake cha ajabu 😁
Asante kipenzi
Am good ni vile tuu life kinatufundisha mkuu ahahahaha si tulikimbia shule acha tushonwe na life 😂😂😂😂🫵🫵🫵Ila bro umeadimika sana. You good?
Daah .... Nimependa sana sana sana sana response yako.Samahani,,,
Nadhani ilikuwa new year!!!! Kweli nitamani kukualika lakini unge boreka mnoo maana tullikuwa watu tunaofahamiana sana........
Usijali nitalipa deni.
Hahahaa kweli aiseeemin me na leo dada wanasoma kila kitu
wanaziba pengo la raraa reree
Asante, Amina kwako piaDaah .... Nimependa sana sana sana sana response yako.
Mungu akubariki mwaka huu 2026 uwe mwaka bora na wenye fanaka sana kwako..