min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,068
- 126,693
Sio naingia humu nikilewa mangi , nikwamba mda wote nimelewa bwashee šleo dada alisema ni mkongwe huku atakuwa anasoma ila min me anasema anaingia huku akilewa tu
Sio naingia humu nikilewa mangi , nikwamba mda wote nimelewa bwashee šleo dada alisema ni mkongwe huku atakuwa anasoma ila min me anasema anaingia huku akilewa tu
Club gani? Red stone au nmeenda sana club za moshi enzi zilešNa wiki Sasa nipo Moshi bwashee , leo mapema nipo club moja hapa Moshi VIP
Hahaha nipo red stone ndioClub gani? Red stone au nmeenda sana club za moshi enzi zileš
Umenikumbusha mbali sana aisee, hiyo club imezinduliwa nikiwa hapo, nilikuwa na rafkiangu mmoja anaitwa princess, tumeenda club mpaka tukapata complimentary aiseešš¤¦š½āāļøHahaha nipo red stone ndio
Bro š tulewe tu aseeee
min -me , leo dada na dosho12 nimeoga sana likes zenu. Asanteni kwa kusoma na kuchangia kwenye my threads.Pigia kura Member bora wa JF kwa vigezo.
Mimi nimeona tuanzie kuwapigia kura hawa. Pendekeza nan aongezweKwa List
Disclaimer: Haya ni maoni yangu binafsi.
Na pia sio ushindan na hakuna zawad ila ni Kuwapa Motisha kwa kuwatambua na kuthamini michango yao.
Kwangu JF wote ni bora.
Dosho naye ana balaa lake anasomaga huyooš
Braza wewe kunywa tuBro š tulewe tu aseeee
Imeshakuwa ya zamani mno almost 9 yrs.. we endelea kulewa tu baadaye utaona wanapendeza taaratibuu..šVIP ya kishamba sana totozi za kucheza nazo zimekaa kitapeli sana acha nilewe aloneš
Sema dosho haongei ndio hapo sasa unaweza kutofautishaš
šSema dosho haongei ndio hapo sasa unaweza kutofautisha
Hahaha Sio kweli , Mimi Sio falaImeshakuwa ya zamani mno almost 9 yrs.. we endelea kulewa tu baadaye utaona wanapendeza taaratibuu..š
Sio fala ndio ila ukilewa utaona tuu, au subiri gizagizašHahaha Sio kweli , Mimi Sio fala
Wanyooshe baba mpaka mwaka mpya huo ukukute baršLeo nasambaza upendo tu hapa watu wale vitu , kwa mstariš
safi sana mkuu!Unajua Mimi japo nina balaa langu ila kiukweli nimejaliwa kupenda kila mtu , Kuna viazi wengi sana Ila nawapenda tu huko huko ignore nafungua post zao na like tu
Samahani,,,leo dada nakumbuka kuna siku niliandika uzi wa ""yoyote mwenye mwaliko wa Xmas"" ulikua uzi wa xmass ya mwaka jana
Kwenye comment alinambia nikaribie.
Si nikasema ngoja niende PM bana weeeee bana weeee wakuuu wakuuu wakuuu wakuuu wakuuuu
Wakuuu
Haya