Miezi mitatu naweza nisiguse pombe kabisa,nisivute sigara wala bangi,nisiende Corner Bar kununua na nikawa nashinda church ili unione smart nikipewa mzigo niliousotea nasepa zangu,ndoa ni zaidi ya tuijuavyo huu ni muunganiko mtakatifu mara zote tunapanga mengi kuhusu wenza wetu lakini kinachokuja kutokea Mungu ndio anajua.