3 Idiots ya Aamir Khan

Huyo sijaangalia movie zake za mjini zenye magari apart from baahubali. Ofcourse nayo uwongo mwingi.

Ajay naye mzushi sana halafu baba ake mzee devgan ndio action choreographer. Mimi movie akiwepo Ajay siangalii except Ishq
Hizi ni baadhi tu
Binafsi namkubali mno japo anauongo mwingi ila story zake zinaeleweka..
Naona anamshinda hadi John Abraham



hiii kuna uongo wa hatariii mtuu anabebwa kama pipi Inaitwa Lebel

 
Kuna movie ya Salman Khan inaitwa bajranj bhaijaan ni moja kati ya emotional movies bora zaidi kuwahi kuziona bila ya kusahau ya Ajay inaitwa dryshyam zote ni za 2015
Bajranj iliwaleta wahindi na wapakistani pamoja. Halafu wahindi na wapakistani ni maadui sana
 
Uko sahihi! Aamir Khan ni great thinker, philosopher and activist via his movies.

Kwa mtu asiyewajua wahindi kiundani anaweza asiielewe vyema 3 idiots. Lkn wale jamaa stereotype inawatesa sana! Watoto wanalazimishwa kusoma vitu walivyo na malengo navyo!

Kwenye PK kachambua vizuri sana suala la hizi imani zetu za kidini!

Huwa napenda movie zake.
 
Nitatafuta na hizo nyingine. Baahubali nilizipenda sana zile story line zake. John Abraham hasikiki kabisa sijui kwanini.
Wewe unapendelea zaid movie gani kutoka Bollywood
 
Nitatafuta na hizo nyingine. Baahubali nilizipenda sana zile story line zake. John Abraham hasikiki kabisa sijui kwanini
Huu mwaka naona katoa filamu 2 tu.. hata yule jamaa aliyecheza nae kama adui kwenye Force naona atamshinda


Wewe unapendelea zaid movie gani kutoka Bollywood
Love stories zao na action zao, kinachonivutia hasa ni story zao zina uhalisia japo mi ni mwathirika wa filamu za marekani hasa DC & Marvel ila wahindi stori zao zimetulia mnoo. kuna chaneli DSTV inaitwa B4U ndio hua napenda kuangalia hazijatafsiriwa pia zina Subtittles nyingine zile za azam na startime
 
Yes mimi naangaliaga kny azam sonymax, stargold.
 
Yes mimi naangaliaga kny azam sonymax, stargold.
Karibu pia hollywood umuone thanos the baddest anavyonyoosha watu....
````
can you tell me a story behind this signature??
A simple person who hides thousands of feelings behind a smile
 
na kithembe chake..... dr Viru
 
Nimeona iyo movie ni nzur mno
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…