Mwenyew ananyonga baiskeli yake kwenda chuoni si kuna fala kajitokeza na kumpita bana weeeeeeeee mzee mtata huyu hakubali kuwa nyuma kamwe hahahahaPROFESSOR VIRUS
View attachment 966007
MTAALAMU WA KUANDIKA KWA MIKONO MIWILI
View attachment 966011
ILA HAWA VIJANA WATATU WALIMPA TABU SANA
View attachment 966013
HAHA AMAIZING.................
View attachment 966014
Inaitwa HichkiNshaiangalia zaidi ya mara 30, nzuri Sana. Lakin Kuna movie moja niliwah Iona kuanzia Kati mdada mwalim ila Ana matatizo Kama anabanwa na kwikw alaf ni mwalim was darasa la watukutu lakin mwisho was siku linakuja kutoa wanafunz Bora nataman niione Tena ila jina sikumbuk
Asante sana niitafute sasaInaitwa Hichki
Nakazia mkuu hii muvi ya 3 IDIOTS nimeangalia juzi tu hapa nimepiga salutiamir khan kwa india naweza kusema ndo the best actor...
Yule mzee hafai alisababisha mwanafunzi ajinyongeMi namkubali mkuu wa chuo,Yule mzee nuksi sana😁😁😁😁
Mwenyew ananyonga baiskeli yake kwenda chuoni si kuna fala kajitokeza na kumpita bana weeeeeeeee mzee mtata huyu hakubali kuwa nyuma kamwe hahahaha
Wakati anaingia chuo akaitisha pre-meeting kuwapa info za chuo daaah mzee ana biti kali huyu ila alipigwa swali moja matata sana kuhusu kutumika penseli mwezini jibu akaja kulitoa mwishoni tena huku analia na jibu lenyewe sikulielewa kamwe
Hiyo movie niliitazama 2011 ni matata sana .. ni habari nyingine aiseeNakazia mkuu hii muvi ya 3 IDIOTS nimeangalia juzi tu hapa nimepiga saluti
The good doctor nimeshaicheki iko poa sana .Hiyo movie naikubali sana. Yule Prof. hatari balaa ila nakushauri ujaribu kuicheki YouTube series 1 inaitwa THE GOOD DOCTOR kijana yupo field hospitali kubwa afu ni abnormal lakini ana akili balaa.
Oya nimekuwa wa ngapi?Bonge la movie ambayo sichoki kuangalia, ninayo since 2013 na sijafikiria kuifuta na mara kwa mara huwa naiangalia, last time kuiangalia ni jana
Mimi kila siku nikiwa mbele ya PC lazima nitazameHiyo movie niliitazama 2011 ni matata sana .. ni habari nyingine aisee
HahahahaOya nimekuwa wa ngapi?
Wa mwisho
Na wewe?
Wa pili kutoka mwisho.
Silencer?
Wa pili?
Wa kwanza nani?
Racho?
Racho????
Jamaa akaenda kuangalia hakuamini
Una downoad kwa kutumia program gani?Anayezijua muvi kali za kihindi kama hizi atuambie..ili tuzidownload
Youtube via Vidmate...ila hii movie niliidownload gugo ktk bmetv.net