2026 FIFA World Cup - Special Thread

Katia stendi na mikono kabisa amenikumbusha Sawa dogo alipokuwa anaomba sub

Your browser is not able to display this video.
 
Parades chezaji jinga sana,Argentina wamejaa wahuni wahuni ukimuondoa Messi hayachezi mpira bali upumbavu wa kurukiana mwilini tu.
 
Byebye messing πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚
 

Attachments

  • Screenshot_20260720_010907_Chrome.jpg
    108.7 KB · Views: 6
Kila mtu anaona kwamba Argentina anaenda kubeba kombe leo mimi kama kawaida yangu hua sishabikii kitu kinachoshabikiwa na wengi. kwa facts nilizotoa kwenye post zilizopita naamini leo bingwa Spain. Let see
daaaaaah nipeni maua yangu jamani kila nilichotabiri humu kimetokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…