Namsubiri substitution za MwingerezaJamaa watarudisha zote
Sub ya Rashidi haikuwa ya kiufundi kuna gepu naliona.Zitakaa kiaskari sasa.
Hizo goli 2 ni call up kwao
Unataka kusemaje kijana🤣Kumbe ndo ulichokuwa unasubiri
Dah Mbappe anajipigia tuUlinzi wanapoteana sana
Ulikuwa unasubiri mabao ya MbappeUnataka kusemaje kijana🤣
Imagine mtu unasema tumeshashinda ngoja nilale. Unaamka asubuhi unaaambiwa zimerudi zote 4.England mumeshaharibu mood yangu
Natamani England akose mshindi wa 3Ulikuwa unasubiri mabao ya Mbappe
Watu walishaanza kusema wangecheza hivi na Argentina wangefika fainaliImagine mtu unasema tumeshashinda ngoja nilale. Unaamka asubuhi unaaambiwa zimerudi zote 4.
Hawa england wameshakuwa matapeli
Kwani England wamekufanya nini mkuuNatamani England akose mshindi wa 3
Na pia sitamani Mbappe amnyang'anye kiatu Messi
Yaan nashindwa kuelewa 🙌
Wameniudhi sana😃😃😃 Tuchel timu imemkataa kabisa
😆Kwani England wamekufanya nini mkuu
Au ulizuiliwa kuingia Uingereza?
Anafosi mno😃😃😃 Tuchel timu imemkataa kabisa