2026 FIFA World Cup - Special Thread

Imenikumbusha Inter Milan ya 2010 nusu Fainal na Barcelona kama sikosei Mourinho mechi zote mbili alipaki bonge la basi dakika zote na akapita , kwangu Mimi ile ndio basi Bora kuwahi kupakiwa katika ulimwengu wa soka.
 
Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.

Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
 
Utaangalia kupitia TBC?
 
Imenikumbusha Inter Milan ya 2010 nusu Fainal na Barcelona kama sikosei Mourinho mechi zote mbili alipaki bonge la basi dakika zote na akapita , kwangu Mimi ile ndio basi Bora kuwahi kupakiwa katika ulimwengu wa soka.
Ewaaa! Lile ndo lilikuwa basi mdogo wangu.

Sasa yule Kocha wa England jana ni kama alikuwa anatania yaani watu wamepaki basi lakini nje ya box wapinzani uwezo wa kupiga mashuti walikuwa nao.

Na kile ndo kiliwagharimu. Pole kwao.
 
Okay je kwa shemeji utaondoka liniπŸ€ͺ
Nitafanya maamuzi baada ya Kombe la Dunia kuisha , baada ya kombe la dunia nitapumzika kwa mwezi mmoja nikifkiria ofa zilizokuja mezani kwangu maana nina ofa nyingi nono mezani kama Olise kwa sasa πŸ™ƒ

1. Nioe kwanza
2. Nikalime Kijijini
3. Nifanye kazi ya kuajiriwa bongo
4. Nikatafute maisha nje ya bongo (Europe, Uarabuni)
 
Ila Adriz dah 🀣🀣🀣
Umepakua nyama nyingi mwanetu
 
Kujishobdoa tu hakuna sehemu nilikuquote sasa kusema uache ni sawa na kujbaraguza. Punguza kiherehere mkuu. mbeleko fc hamna tofauti na serikali ya bi chura wameua watu oct 29 na bado wanajisifia wapo madarakani na wanamake another proud history.
 
Muhenga nilisema toka zamani... Leonordo da Vinci for reason
 
Duh!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…