2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wanakuja kusema eti wafrika hawana akili ya mpira.
Haya England naye amefanya kama Senegal kama Egypt.
Mi huwa nakataa hilo la kwamba akili hatuna. Akili ipo ila kinacho gharimu ni kuridhika haraka.

Na hata hii ya kushikilia bomba huwa si kila mtu anaweza akalishikilia mpaka mwisho.

Miaka hiyo Italy ndo alikuwa bingwa wa kupaki basi na ilifikia hatua akawa amewaambukiza hadi Inter Milan na AC Milan kule Champions League. Yaani walikuwa wakikupakia basi ujue hiyo ni mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…