2026 FIFA World Cup - Special Thread

Argentina labda uwe unaogoza 5-0 ndo labda wanaweza wasiweze kurudisha magoli……na hiyo itategemea na aina ya mchezo unaoucheza.
 
Kuna watu wanafikiri baada ya England kutolewa labda ntakosa team,.nataka niwatoe hofu kwamba kwa sasa nipo Argentina
Tukutane tarehe 19, saa nne usiku
Viva Argentina πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Amezingua sana huyo mjerumani pori, atakuwa amezaliwa Ujerumani Mashariki huyo
 
coaches kubadili plans inayofanya kazi games za msingi kuweka players wao kunaharibu games siku zote. they never learn. leo rogers kaanza wakati games zote huwa anaingia. Jana France Tchou Kaanza Kone Kaanza Bench Wakati Alikua Poa Games Zote
 
Kuna watu wanafikiri baada ya England kutolewa labda ntakosa team,.nataka niwatoe hofu kwamba kwa sasa nipo Argentina
Tukutane tarehe 19, saa nne usiku
Viva Argentina πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯Umetisha
 
Argentina labda uwe unaogoza 5-0 ndo labda wanaweza wasiweze kurudisha magoli……na hiyo itategemea na aina ya mchezo unaoucheza.
Kama majini jamaa..kuna Sub zinaingia unaona kabisa hawana muda wa kuchezea..Depal alivyoingia ,L.Martinez unaona kabisa Messi anajua huyo jamaa vichwa hakuachi
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜… leo mmesahau kumlau Refa mna mlaum Coach, nyie wajukuu wa kikongwe penaldo mna vituko.
Sasa coach kosa lake likowapi, yeye kaongeza mabeki wakacheze na kukaba, kufeli kwao maana yake wana uwezo mdogo, nyie hii World Cup hakuna wa kumzuia Messi 🐐
 
Coach kapewa hela na Raisi wa FIFAπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…