2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ila tunashambuliwa
image.jpg
 
Hii ni England msilete habari za Egypt hapa. Ukizungumzia England unazungumzia top 4 best international football club
England wakiendelea na mpira wao huu wa kimakonde.

Wanapigwa chuma Sio Muda.
Ndo mpira wa kingereza huo,hata mexico alimiliki sana lakini aligongeshwa,na huyu argentina anagongwa leo,na fainali spain anagongwa......England wanataka matokeo hawataki showoff
 
Back
Top Bottom