Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,823
- 7,437
uran ingia uongeze nguvu apo nyuma na nduguyo ShesRise_1
Ile Mbeleko ishachanikaNa tutaipata
Embu lala acha kuangalia mpira Sofa score.Mbuzi anatafutiwa namna gani apate penati
Maana
Ngoma ngumu hii
Sisi team ronado tutarud tena 2030, tunataka nae abebe tuko tayar acheze hata na magongoEngland Bingwa 🔥
Wanafeli sanaNaona England wameanza kucheza kama Senegal
Hiyo Haina comeback subirini chuma Cha piliWatafanya comeback ya kibabe
Mzee nawewe leo upate hata Raha maana unabadili timu mpaka hurumaIla tunashambuliwa View attachment 3629901
Haya sawaWatake wasitake wataachia tu😂 ni suala la muda
Hii ni England msilete habari za Egypt hapa. Ukizungumzia England unazungumzia top 4 best international football club
Ndo mpira wa kingereza huo,hata mexico alimiliki sana lakini aligongeshwa,na huyu argentina anagongwa leo,na fainali spain anagongwa......England wanataka matokeo hawataki showoffEngland wakiendelea na mpira wao huu wa kimakonde.
Wanapigwa chuma Sio Muda.
Tuma salamu kwa watu watatuIle Mbeleko ishachanika
Mambo ya janjajanja yana mwisho