ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,938
- 40,042
Washenzii wanajificha kwa England 🤣🤣England wapeni faraja mashabiki wa babu wa kireno wasahau kua beberu linastafu bila wedikap
Washenzii wanajificha kwa England 🤣🤣England wapeni faraja mashabiki wa babu wa kireno wasahau kua beberu linastafu bila wedikap
Kondoo ni nani?Kombe tunalo hilo lakini? Kondoo wako ana wedikap ngap?
Sio arne slotJamani
Tuna Mwalimu
Anaitwa Tuchel Thomas
Mwalimu wa mpira huyo, siyo Mwalimu wa mafunzo karate😂😂
Natamani watoke hawa ArgentinaKutoka 1966 sasa ni 2026 miaka 60 baadaye england anaenda kuchukua world cup ya pili 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😀
General mbappe nae kawaangusha hawana jinsiWashenzii wanajificha kwa England 🤣🤣
Babu la kimakondeKondoo ni nani?
Siyo slot tapeli aliyefanya Liverpool kama klabu ya kijijini kwao uholanziSio arne slot
Punguzeni makasiriko1🤣🤣🤣🤣🤣Washenzii wanajificha kwa England 🤣🤣
SimjuiBabu la kimakonde
Tatizo wote wanacheza kwa presha kubwa sana pia ni wabovu na wamefika hapa kwa bahati sana.Nawahasa ndugu zangu tusiowapenda Argentina tusubiri mpaka kipyenga cha mwisho
maana hawaeleweki hawa muda wowote wanafufuka
Noma japo mimi nilitamani France apiteGeneral mbappe nae kawaangusha hawana jinsi
Wakishapigwa comeback ndo huwa wanaanza kulia eti Messi anabebwa 🤣Nawahasa ndugu zangu tusiowapenda Argentina tusubiri mpaka kipyenga cha mwisho
maana hawaeleweki hawa muda wowote wanafufuka
Upo timu gani.Siyo slot tapeli aliyefanya Liverpool kama klabu ya kijijini kwao uholanzi
Huyu Tuchel ni Mwalimu mbobevu wa mpira 🔥