2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kwasababu wewe hauwagi refa kama ulivyokuwa leo.

Halafu Argentina kwenye ishu ya kupendelewa hao ni too much huwezi hata kuwawekea excuse kama hizi.
Messi kapendelewa wapi?

Hili tukio lingekuwa kafanya Argentina, ungekuwa umeandaa picha mia kidogo,kila siku ungekuwa unapost naona una Adobe ya kuedit picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…