Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,532
- 20,359
Mwendo wa bingwa haujifichi.Ndiyo football, sasa unataka bingwa ashinde kama rede?
#Hallelujah!!!
Mwendo wa bingwa haujifichi.Ndiyo football, sasa unataka bingwa ashinde kama rede?
#Hallelujah!!!
Argentina angekuwa anacheza na timu yoyote hapa mpira ushaisha. England hana kipa, hana beki za uhakika alafu anakaa dakika 30 bila attempt iwe on target au off target. Ndio ampige Argentina?Argentina hawana lolote mkuu.
Argentina alipigwa na Misri.Argentina angekuwa anacheza na timu yoyote hapa mpira ushaisha. England hana kipa, hana beki za uhakika alafu anakaa dakika 30 bila attempt iwe on target au off target. Ndio ampige Argentina?
Argentina anacheza kama hatua za makundi. Ndio maana huwa anaonekana anakoswakoswa kuondolewa. Anakuja full nondo anapiga kazi hana wachezaji wa kurudisha mpira nyuma kama hawa kina Madueke.England wamekuwa watepetevu sana. Ila Argentina anaruhusu sana magoli. Hata hii mechi yao ya saa kumi ni ngumu sana kwao.
Makipa waliobaki wote mbona uwezo wao wa punch mdogo. Wanarudisha mipira uwanjani mbele ya maadui.Jude anapambana sana
#Hallelujah!!!
Kama una bet amini maneno yanguArgentina hii hii iliyoteswa na Misri na Cape Verde?
Nakazia kabisa.Kama una bet amini maneno yangu
Hakuna wa kumzuia Messi 🐐 kubeba kombe. Yaani hata mkitaka Argentina ije ichezee kwenye uwanja wa Meja Isamunyo, Messi 🐐 asubuhi mapema anabeba
Usilale kwanza MESSI 🐐 hajakutia maumivu presha na kisukari. Bora uumie saahizi kuliko uumie asubuhi 🤣Wacha nilale
Oya maombi yako yashindwe!Ngoja Sasa Wachanganyikiwe wapigwe cha 3
Tunampanga wa kumtoa kafara kumvunja miguu akafie mbeleKama una bet amini maneno yangu
Hakuna wa kumzuia Messi 🐐 kubeba kombe. Yaani hata mkitaka Argentina ije ichezee kwenye uwanja wa Meja Isamunyo, Messi 🐐 asubuhi mapema anabeba