Tuko pamojaNdugu zangu England
its coming home
Tuko pamojaNdugu zangu England
Siku zote fainali ni fainali.Njia ya France kwenda final ngumu,imagine anaenda kukutana na Spain tena
😂😂😂😂Endelea kumbonda maana naona kama anatikisika hivi huenda yuko hai..
Lakini Spain wakiwa kwenye ubora wao hawana tabia kutoa vichapo virefu kwa wapinzani wake.Spain watatupia chuma 3 wavuni leo, Oyarzabal header.
#Hallelujah!!!
Timu France wanaombea apite Belgium tuHawa watoto wa Spain wana uwezo mzuri sana kukaba
Yoyote yule aje.Timu France wanaombea apite Belgium tu