😅😅😅 wamechomoaa😭😭😭😭Wewe upo chama lipi unabadilika rangi kila haiwezekani kila siku kukiwa na game unaleta mapenzi ya uongo
Ngoma inogileShambulizi moja tu waapata goli
TOka waanze michuano ndio wanaruhusu goliHii match Spain inatoka, sitengui kauli..