2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kubebwa kuna weza kuathiri maamuzi ndani ya uwanja kisaikolojia na ukaruhusu magoli
 
Yule mwarabu fighter aliumia akaomba kutoka ila jamaa linajua boli maana alikuwa anawakimbiza sana
 
Kama Hilo ni tatizo kweli as you said kwanini France wasigome !? It means wewe unauwezo wa kuona Hilo tatizo kuliko France

πŸ˜„πŸ˜„ Hizi ni sawa na ramli chonganishi tu Mzee jikite kwenye chambuzi zenye logic

Kwani wakati hao marefa wanapangwa kuchezesha hiyo game fifa walikuwa wanauhakika kwamba Argentina Jana wangeshinda !?

Scars

Kwani makocha wakipangwa wote Toka Nchi Moja wanazuia vipi wachezaji kucheza!?
 
In 2014, when Argentina lost the final, nobody said Messi was carried. In 2022, when he lifted the World Cup, suddenly it became 'rigged' or 'carried.' Now Argentina reaches another quarter-final, and it's the same story again. Funny how the narrative changes when Messi wins. πŸπŸ‡¦πŸ‡·
#Hallelujah!!!
 
Ndio kawaida ya binaadamu

Binaadamu wabaya sana πŸ˜„

Wewe huoni hata huko uswahilini mtu anaweza kujiolea mke wake halafu waja wakaanza kusema mke wa jamaa ni mbaya , waja hao hao ukikaa bila ya kukuona na mwanamke watasema wewe ni hanithi
 
Sasa Ronaldo atapiga vipi penalty in WC wakati li team lake huwaga kufika robo tu wanafika Kwa bahati
 
Ndio kawaida ya binaadamu

Binaadamu wabaya sana πŸ˜„

Wewe huoni hata huko uswahilini mtu anaweza kujiolea mke wake halafu waja wakaanza kusema mke wa jamaa ni mbaya , waja hao hao ukikaa bila ya kukuona na mwanamke watasema wewe ni hanithi
Wivu na uchawi vimetawala bongo zao ni mazwazwa haswa.

#Hallelujah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…