T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,784
- 46,615
Kwa akili yako hapa kwa chini chini ukute umeona namsema Ronaldo. Anaweza akafa yule ni mtu, sio timu. Unapeta ushabiki lialia wa mchezaji kwenye maslahi ya timu.Spain walitakiwa kuitumia hiyo opportunity kufunga.
Mbona bado nyau nyau?
Mkakati mbovu, halafu mpinzani anashindwa kuona nafasi ya kunufaika kupitia huo udhaifu, hapo nani ni dhaifu?
Au tuseme Spain hawajaweza kuona hiki ulichokiona?
Uko obsessed nae hata mpira huoni kinachoendelea. Possession, shots on target, possible goals zote Spain inaonekana. Portugal haikai na mpira, haipangi mashambulizi ingawa inalinda vizuri.