Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
Ila leo🙌🙌🙌
Watu hao wanaangalia na role ya position anayocheza?Sasa yeye si ni GOAT ? Na anashindanishwa?
So lazima watu waangalie vitu vingi.
Ngoja tuone leo itakuajeMara nyingi Halaand ndio huwa anaibuka mshindi...
Hii tamu...muhimu wahakikishe second ball wanatulia watawapa tabu brazilNorway attack
View attachment 3623492
Unashabikia Norway?Hii tamu...muhimu wahakikishe second ball wanatulia watawapa tabu brazil
Tuache kutumia matako kufikiri.....Jamani mnaona soka la wenzetu sijui tufanyaje na sisi tufikie hapo nadhani siasa ya michezo ife
Mie sina timu mie napenda mpira basssss. Napenda formation strategy tactics....Unashabikia Norway?