😃😃 Halaand ni mshambuliaji wa asili kabisa.Mnamuona Haaland?
Mnamuona akicheza kama playmaker humu?
Huyu ni kijana wa miaka 25 na bado anasubiria aletewe mipira. Lakini mwenye miaka 41 akifanya hicho hicho mnamuita mzigo anaigharimu timu.
Mnataja awe ana struggle kiwanjani kukaba kutafuta mipira, afanye dribbling azunguke kila upande wa uwanja.
Hamko fair
Usisahau kuwa Ronaldo naye ni centre strike😃😃 Halaand ni mshambuliaji wa asili kabisa.
Sema kikosi cha BR sio cha moto kivileNaona kama iko 50 50 hii