2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mnamuona Haaland?

Mnamuona akicheza kama playmaker humu?

Huyu ni kijana wa miaka 25 na bado anasubiria aletewe mipira. Lakini mwenye miaka 41 akifanya hicho hicho mnamuita mzigo anaigharimu timu.

Mnataja awe ana struggle kiwanjani kukaba kutafuta mipira, afanye dribbling azunguke kila upande wa uwanja.

Hamko fair
 
Offtarget


On target
 
Mnamuona Haaland?

Mnamuona akicheza kama playmaker humu?

Huyu ni kijana wa miaka 25 na bado anasubiria aletewe mipira. Lakini mwenye miaka 41 akifanya hicho hicho mnamuita mzigo anaigharimu timu.

Mnataja awe ana struggle kiwanjani kukaba kutafuta mipira, afanye dribbling azunguke kila upande wa uwanja.

Hamko fair
😃😃 Halaand ni mshambuliaji wa asili kabisa.
 
Ila bei za tiketi WC sio poa. Hii fainali na zimebaki 3%
mmm.png
 
Norway kwa kiasi flani wamefanikiwa kuziba ile gap iliyokuwepo dakika 20 za kwanza...

Sasa hivi wamebakisha kitu kidogo tu kwenye namna wanavyofanya mashambulizi.

Bado mpango wao hauko wazi
 
Back
Top Bottom