Hawa Norway wasije wakanifanya nikajuta kukaa macho hawa. Naona wana dalili kabisa za kupoteza 😭Kabisa ila kwa hii namna ya Norway unaona kabisa kuna gap la wazi.
Watazuia mara kadhaa ila kuna mara watakayo fungwa
Kocha ameingia na hiyo mbinu ya kufanya mashambulizi ya kasi ili apate goli la mapema.Kabisa ila kwa hii namna ya Norway unaona kabisa kuna gap la wazi.
Watazuia mara kadhaa ila kuna mara watakayo fungwa
Ndio hata mimi naona hivyo hivyo Mkuu.Sijui kama mnaona ninachoona.
Hiyo ni mara ya tatu Brazil wanatumia counter kushambulia
Hata kuona namna mlivyofungwa ni sehemu ya mchezoHawa Norway wasije wakanifanya nikajuta kukaa macho hawa. Naona wana dalili kabisa za kupoteza 😭
Yaaani tutapigwa kirahisi, simply kwa namna wanavyo react wakiwa na mpira...Hawa Norway wasije wakanifanya nikajuta kukaa macho hawa. Naona wana dalili kabisa za kupoteza 😭
Asante sana kwa hizi review.Ndio hata mimi naona hivyo hivyo Mkuu.
View attachment 3623473
Bora nilale sijui matokeo coz nitalala usingizi mzuri. Lkn kuingia kitandani na maumivu naweza nisipate usingizi kabisaHata kuona namna mlivyofungwa ni sehemu ya mchezo
Kabisa yani!Cunha ni muongo muongo sana huyu jamaa, hapa kama kawaida yake ana dive halafu anamsikilizia refa.
Kuwa refa kwenye mechi anayocheza huyu jamaa unatakiwa uwe kauzu sana, vinginevyo utajikuta unatoa penati hata 5
View attachment 3623476
Pole, nenda ukalale.Bora nilale sijui matokeo coz nitalala usingizi mzuri. Lkn kuingia kitandani na maumivu naweza nisipate usingizi kabisa