2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Screenshot_20260705-222505.png
 
Wakati Messi anafanya maamuzi ya kustaafu baada ya kukosa penalti ya ushindi mwaka 2016.



Ronaldo alikuwa ni miongoni mwa watu waliomtia moyo na kumshauri arejee tena kuitumikia timu yake ya Taifa kwani ups and downs kwenye mpira ni kawaida.

Screenshot_20260705-223528.png


Na ndio huo mwaka ambao Ronaldo alikuwa ametoka kubeba UERO. Lakini bado alimtia moyo Messi kuwa asi give up.

Screenshot_20260705-223426.png


Hii ndio sababu Ronaldo anaonekana kuwa favourite kwa watu wengi.

Pamoja na magumu yote anayopitia kuanzia kwenye mifumo hadi media bado jamaa amekuwa na kifua cha ku handle hizo trauma.
 
Wakati Messi anafanya maamuzi ya kustaafu baada ya kukosa penalti ya ushindi mwaka 2016.

View attachment 3623417

Ronaldo alikuwa ni miongoni mwa watu waliomtia moyo na kumshauri arejee tena kuitumikia timu yake ya Taifa kwani ups and downs kwenye mpira ni kawaida.

View attachment 3623419

Na ndio huo mwaka ambao Ronaldo alikuwa ametoka kubeba UERO. Lakini bado alimtia moyo Messi kuwa asi give up.

View attachment 3623418

Hii ndio sababu Ronaldo anaonekana kuwa favourite kwa watu wengi.

Pamoja na magumu yote anayopitia kuanzia kwenye mifumo hadi media bado jamaa amekuwa na kifua cha ku handle hizo trauma.
Hivi huu nao si ni ugonjwa jamani!! Mbona uko obsessed sana na Messi🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Back
Top Bottom