Acha apishe young generation nao waonyeshe uwezo wao.Ronaldo ametangaza kuwa hii ndio World Cup yake ya mwisho.
Come on, we still need you bruhView attachment 3623412
Tupo pamoja ...samba boys watatoboaKika la kheri Brazil
Mapenzi yako yatimizwe, nasi tunaoshabikia Brazil tuheshimiweNaipenda zaidi Norway
Hapa kila mmoja ana haki ya kushabikia anachopenda.Wakuu prediction yenu niipi juu ya mchezo wa leo. Mm nipo yoyote apite tu
Sitaki stress
Young generation tayari zimetuonesha uwezo wao.Acha apishe young generation nao waonyeshe uwezo wao.
Hivi huu nao si ni ugonjwa jamani!! Mbona uko obsessed sana na Messi🙆♂️🙆♂️🙆♂️Wakati Messi anafanya maamuzi ya kustaafu baada ya kukosa penalti ya ushindi mwaka 2016.
View attachment 3623417
Ronaldo alikuwa ni miongoni mwa watu waliomtia moyo na kumshauri arejee tena kuitumikia timu yake ya Taifa kwani ups and downs kwenye mpira ni kawaida.
View attachment 3623419
Na ndio huo mwaka ambao Ronaldo alikuwa ametoka kubeba UERO. Lakini bado alimtia moyo Messi kuwa asi give up.
View attachment 3623418
Hii ndio sababu Ronaldo anaonekana kuwa favourite kwa watu wengi.
Pamoja na magumu yote anayopitia kuanzia kwenye mifumo hadi media bado jamaa amekuwa na kifua cha ku handle hizo trauma.
Subiri tuoneHaya samba boys kutupa raha au karaha
Obsessed na Messi ❌Hivi huu nao si ni ugonjwa jamani!! Mbona uko obsessed sana na Messi🙆♂️🙆♂️🙆♂️