👆👆👆👆👆 Niliandika dakika 5 nyumaKuna mawili, cape Verde wanaweza kumfunga Argentina au Argentina akampiga nyingi, hakuna matuta hapa
Uzembeeee
Acha kiongozi kama wakiwa na makali haya haya next season siooni nafasi ya gunners ata top 4Man U beki zao zimepiga mzigo kwenye kombe hili naona Martinez katupia,halafu kuna yule wa Morocco utazani timu ya familia.
Hawezi fungwa wakati hawashambulii. Sahau hizo ndoto, kama timu haishambulii ni ama adui awe hajui kushambulia basi asifunge au iwe na defense line nzuri.Mkuu Argentina hatoboi. Hua sikoseagi aisee. My guts are always right
Hajatupia ila performance yake ni Superb mpaka Evra akawa anamshangaa.Mazrouh alitupia kwenye game ipi?
Wakileta tamaa bila nidhamu watapigwa la 3Cabo Verde wanataka goli lingine la ndondokela