Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,530
- 61,938
Mganga fala sana
Ni miaka 11 hiyo imeshapitaNajiuliza hivi 2015, Stars aliwafunga vipi?
Utani utani hapa Argentina anaweza aga mashindano
Lolote baya liwakuteUtani utani hapa Argentina anaweza aga mashindano
Ujue CV wamekuja na moto sana ET baada ya kuona wamefungwa. Equalizer imetafutwa sana sio kama pale walipokuwa draw. Kumbe team za Afrika zinaweza funga shida ni kuridhika mapema.Argentina watafute la tatu la sivyo story zitakuwa nyingine,madogo wanaweza wakapata zali.
Nimeona kaka muda badoNazani umeona kaka wamechomoa.
Si rahisi kihivyo hii game Argentina anashindaUtani utani hapa Argentina anaweza aga mashindano
InferiorismUjue CV wamekuja na moto sana ET baada ya kuona wamefungwa. Equalizer imetafutwa sana sio kama pale walipokuwa draw. Kumbe team za Afrika zinaweza funga shida ni kuridhika mapema.
Nilizani nimeandika 2025 kuna mtu alisema 25 tulimpiga mbili asante kwa kuni alert.Ni miaka 11 hiyo imeshapita