Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,792
- 9,707
Nikikumbuka fainal ya 2022 ufaransa alipewa penalty mbili za uongo nashangaa unavoikandia Argentina3 World Cup trophies won by ArgentFIFA
View attachment 3620630
Mmebebwa nyau nyie😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Umri
Kwa game plan kama ya jana Spain hamfungi France. Ila tusiende na matokeo mfukoni.
Ulivyomaliza kwa "daah" ni kama hili ni tukio geni kwako hujawahi kuliona popote pale.Yaani Ureno inastruggle kwa Crotia hii daah.
Kuhusu 2022 World Cup, hii tunaweza kuzungumza mengi sana ambayo kama wewe ni shabiki wa Messi na Argentina usingependa kukumbushwa namna mlivyobebwa.Nikikumbuka fainal ya 2022 ufaransa alipewa penalty mbili za uongo nashangaa unavoikandia Argentina
dkk 30 za nyongeza Argentina akiwa anaongoza kwa goal 3-2 dhidi ya ufaransa
mchezaji wa ufaransa alinifanya rafu mbaya Messi akachukua mpira messi akaanguka chini ikaenda kuzaa goal la kusawazisha
sidhan km Messi alishawah kubebwa uwanjani tofaut na unavo display humu
be sportsman
So kwa sababu Spain alistrugle basi Ureno nayo inastruggle? Hivi unaijua Crotia vizuri, tunayo ijua sisi? au mpira umeanza kutizama juzi? Unaviungo watatu bora Ulaya (Neves,Pedri, Bruno) bado unastrugle, wewe unazani Crotia angekuwa Ivan Ractic,Kramaric na striker Mario jana Ureno alikuwa hawachomoki.Ulivyomaliza kwa "daah" ni kama hili ni tukio geni kwako hujawahi kuliona popote pale.View attachment 3621099
Croatia na Cape Verde nani mkubwa?So kwa sababu Spain alistrugle basi Ureno nayo inastruggle? Hivi unaijua Crotia vizuri, tunayo ijua sisi? au mpira umeanza kutizama juzi? Unaviungo watatu bora Ulaya (Neves,Pedri, Bruno) bado unastrugle, wewe unazani Crotia angekuwa Ivan Ractic na striker Mario jana Ureno alikuwa hawachomoki.
Unangalia ukubwa? Kwani ukubwa unapimwa na nini?Wachezaji uliokiwa nao au current performance?Croatia na Cape Verde nani mkubwa?
Upo kwenye industry ya mpira na hujui ukubwa wa timu uko determined na nini?Unangalia ukubwa? Kwani ukubwa unapimwa na nini?Wachezaji uliokiwa nao au current performance?
Ndio na kuuliza wewe uliyekuwa kwenye hii Industry mda mrefu ni kuone ubobezi wako.Upo kwenye industry ya mpira na hujui ukubwa wa timu uko determined na nini?
I don't think if I'll have that time to wasteNdio na kuuliza wewe uliyekuwa kwenye hii Industry mda mrefu ni kuone ubobezi wako.
Hujui maana ya ukubwa sio kosa lako, hata mimi sina mda wa kukujibu na ndio maana nilitaka unijibu kupitia maswali.I don't think if I'll have that time to waste
Ushasema hujui basi chill, we can't go further.Hujui maana ya ukubwa sio kosa lako, hata mimi sina mda wa kukujibu na ndio maana nilitaka unijibu kupitia maswali.
Wewe si umeanza kusema hauna mda kunijibu? Sasa mda wa kuandika paragraph mbili umeutoa wapi.Ushasema hujui basi chill, we can't go further.
Siwezi kukulaumu tena kui undermine Ureno kwa mechi ya usiku, wakati mechi ya Spain na Cape Verde hukuangalia na hujui vigezo vinavyotumika kupima ubora.
So, hata nilivyoandika vile kumbe hukuelewa muktadha wa nilichoakiandika?Wewe si umeanza kusema hauna mda kunijibu? Sasa mda wa kuandika paragraph mbili umeutoa wapi.
Kwani wewe ni ukubwa unalipima kwa vigezo vipi? Maana maada umeianzisha wewe.