adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,786
- 37,796
Leao hana IQ ya mpira kabisa , miguvu mingi nilikuwa namuheshimu Bure kabisa
Anachofanya uwanjani ni kikubwa kuliko hayo magoli mawili.Miaka 41 na bado ana goli nyingi kuliko mwenye miaka 18
View attachment 3620974
Ndio mtu wa kuondoa hapo uwanjani. Kazi kutembea kwa madoido tu.Leao hana IQ ya mpira kabisa , miguvu mingi nilikuwa namuheshimu Bure kabisa
Hawajui kukuba toka first game space wanaacha kubwa sana , ndio maana walivyokutana na timu kama Colombia walipelekewa moto wa maanaGoaal.Portugal wamepata wanachostahili
Kuwa na msaada kwenye timuTupe tafsiri ya kucheza vizuri View attachment 3620975
😄😃😃😃Penalty hiyo jamaa kafunga sijajua imekuwaje nitafuatilia asubuhi.
Kama penalti ya kubebwa nitasema bila bias.