2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hii offside ya Croatia ilikuwa move nzuri. Sioni kama Portugal wana hatari safu ya mbele. Wanamtegemea Ronaldo kama striker wa mbele kabisa ila hana pace nzuri na hivyo mashambulizi yao yanapungua tishio. Nadhani wamekosea formation ya kumuacha peke yake.
 
Back
Top Bottom