2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kaisha huyo
Miaka 41 na bado ana goli nyingi kuliko mwenye miaka 18
FB_IMG_1783026545453.jpg
 
Kipindi cha kwanza kinanitosha.

Najua asubuhi niki refresh page nitakuta tayari kapiga brace.

Ila kabla ya yote tupate neno la usiku kutoka Mathayo 7:7-12

"Ombeni, nanyi mtapewa"
FB_IMG_1783028157671.jpg
 
Back
Top Bottom