Najua.
Katoka academy yao...Barcelona wanakuaga wapi kusajili mtu kama cucurella
Bench warmerKatoka academy yao...
Nimeinjoi sana aisee hii mechi. Mtu hugusi mali
Jamaa linajua sanaKatoka academy yao...
Nimeinjoi sana aisee hii mechi. Mtu hugusi mali
Dogo huyu Mimi hapo tuu ndio namkataaga, kipaji kipo ila sasa analazimisha sana, aache kuwawaza wakina Messi walifanya nini acheze mpira.Bench warmerView attachment 3620918
Anatengeneza attention kubwa kutokana na maneno yake anayotoa kabla ya mechi.Dogo huyu Mimi hapo tuu ndio namkataaga, kipaji kipo ila sasa analazimisha sana, aache kuwawaza wakina Messi walifanya nini acheze mpira.
Huyu dogo kufika level za Messi sidhani, Kun watu kama wakina olisse wanapiga kazi balaa na hawaongeiAnatengeneza attention kubwa kutokana na maneno yake anayotoa kabla ya mechi.
Hii inafanya full backs wamuwekee ngumu sana kwasababu ya kulinda heshima zao kwasababu ikitokea amefunga atarudi kuongea zaidi kuthibitisha kwamba habahatishi na ana jiamini.
Ndio maana hata Atletico wakimfunga Barcelona huwa wanarusha sana madongo kwasababu ya kujibu mapigo ya kauli zake.
Ni mchezaji mzuri na sina shaka na kipaji chake ila ni kama umaarufu umekuja mapema kabla hajaanza kujifunza ni time gani ya kuongea na ni time gani anyuti.
View attachment 3620927