2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ukiwa hujaangalia mechi za waafrika waliotolewa unaweza kudhani Senegal anafanya kitu kipya ambacho wenzake hawakukifanya.
Uliona mbali , Mimi kwa mara ya kwanza sikuwa na vibe ya kutazama mechi za ngozi nyeusi nijalala asubuhi ndio naulizia matokeo naona tumekandwa.

Siangalii tena mechi za wamatumbi labda ichezwe saa 1 au mbili sio niache usingize wangu kisa wamatumbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…