adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,581
- 7,751
Kina Kumamoto wanatema cheche za Godzillaššsio poa, samurai wanapeleka moto atare !
Kina Kumamoto wanatema cheche za Godzillaššsio poa, samurai wanapeleka moto atare !
Hiyo lazimaJapan watapigwa hii match, sijui kwanini nahisi hivyo..
Huwa sibeti, kubeti ni haram.....ila niko upande wa morocco mwanzo mwisho+ArgentinaKama Una hela mpo Morocco wanajambisha mtu leo
Hiyo lazima
Japan haizuiliki kizembe hata hapo kati umlete Modric in his prime.Casemiro sioni maajabu yake leo apo kati
Hao wengine sijui, lolote liwakute lakini Ufaransa mmmh, siyo kweli.BRAZIL
USA
FRANCE
UINGEREZA
WATOLEWE KABISA
Argentina šŖ
Ukiacha uweusi nadhani pia zamani enzi za Ronaldo de Lima na gaucho, romario, cafu, etc walitoa soka Moja matata sana.Huenda Kwa sababu ya wachezaji weusi, refer ufaransa. Huu ushabiki sio
Argentina šŖ
Spain šŖ
Nami naona kitu kama hicho.Brazil anaweza kuliwa kimasihara tu.
Lakini FIFA watakubali kweli? Usije ukashangaa kuona miujiza toka kwa refa.Nami naona kitu kama hicho.
Hiki kipindi cha pili Japan akae chonjo..Hiyo lazima
Don Carlo amezeeka hata angefika nusu fainali au fainali yenyewe. Unahisi ni club gani ingeweza kumpa kandarasi tena. Ndio anastaafu hapa hili kombe lina wastaafu wengi.Brazil sioni akitoboa hapa, akubali tuu hana team ajiandae kwa 2030 tena, afu huyo anceloti wamuondoe haraka ana mbinu za kizee
Hahaaa wanakutana hao sheikh, mechi itakua ngumu wazee wa kulazimisha suluhu verdš ila watakutana na majeshi hope tutawabondaHapo kwenye Argentina muweke Cape Verde ila sikulazimishi.
Sidhani kama FIFA wanaweza kuwa na Fitna za aina hiyo.Lakini FIFA watakubali kweli? Usije ukashangaa kuona miujiza toka kwa refa.
Mnajipa hope eee, hayaHiki kipindi cha pili Japan akae chonjo..
Brazil hana ushabiki kivile kwa sasa.Lakini FIFA watakubali kweli? Usije ukashangaa kuona miujiza toka kwa refa.