Duh!..Chumaaaaa
Wazee wa Xenophobia hahAfrica nzima tumefurahiiiiiii sanaaaa
Kabisa.Nina feeling timu nyingi za Africa hazipiti hii knock out stage.
Hapa nipo na Japan, Germany na Uholanzi...View attachment 3617882
Ni kivumbi haswa
Ni bandika banduaaaa...View attachment 3617882
Ni kivumbi haswa
Ndugu zangu wa wapi?Cookie ndugu zako wametolewa bana 🤣
Correction: Hapa ni Taifa Stars🤣🤣🤣 USA baby! Labda mliibe hilo kombe
Waende zaoHugo broos kazingua mwenzie anafanya subs yeye ametulia tuu anafanya sub dakika ya 86....muhuni huyu jamaaa
Cha kushangaza hugo broos ndio alikuwa kocha mwenye kufanya sub za haraka na zenye impact wakati wa afcon. Huku world cup kawa mzito sana kufanya subs
Hao Morocco usiwachukie sn maana shughuli yao balaaSipendi matimu ya kiafrika
Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh.
Bado morroco , congo, ivory coast , ghana na kenge wengine
Ptuuuuuuuuuuuuuh.