hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,254
- 79,956
Ukweli usemwe 😄Umeamua kutusagia kunguni mkuu
Ukweli usemwe 😄Umeamua kutusagia kunguni mkuu
Wakikutana na Argentina watapigwa kama ngomaWangemaliza wa kwanza kwenye kundi huenda wangecheza Robo fainali na Argentina....ila ngoja tuone mwelekeo wao
Wakupokonye simu sasa inatoshaShame 😁😁😁
Fabrizio fala sana 😄
Aisee.. jamaa ni mwizi mwizi tu🚨 BREAKING: Cristiano Ronaldo has become the player caught offside the most times in FIFA World Cup history. 🇵🇹🔥
Tulia dawa iingie 😆Wakupokonye simu sasa inatosha
Na ndio atawakwamisha sana, mviziaji🚨 BREAKING: Cristiano Ronaldo has become the player caught offside the most times in FIFA World Cup history. 🇵🇹🔥
Amepigwa ban kuingia USASijamwona lumumba wa congo hii game ya mwisho!
Yupo,game ya colombia alikuwepo uwanjaniAmepigwa ban kuingia USA
Ya Jana alizuiwaYupo,game ya colombia alikuwepo uwanjani
Nahisi ni kwasababu aliweka is ishara ya bastola kichwani mwake siku ya game ya colombia.Ya Jana alizuiwa
Kuna sehemu niliona taarifa hiyo
Itakuwa hivyo mkuuNahisi ni kwasababu aliweka is ishara ya bastola kichwani mwake siku ya game ya colombia.
Wazungu hawana dogo,wameshamharibia brand yake
Duh!....kwa wenye nyota nzuri hapo bahati nje nje...Oooh kubeti ni umasikini hakuna mtu mwenye hela akahangaika na kubeti.
Just another beggar & broke nigga tryna get some shit through betting
View attachment 3617450
Penaldo teamNi timu gani inayo kujia kichwani baada ya kuona hii picha
View attachment 3617333