Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 5,426
- 13,773
Hii nayo mbona hujaleta?Colombia wagumuView attachment 3617328
Hii nayo mbona hujaleta?Colombia wagumuView attachment 3617328
😂😂😂 mtazamo wao tuKwamba Cubarsi duh
Hii nayo mbona hujaleta?
Hii nayo una kumbukumbu nayo mkuu?Colombia katuzuiaView attachment 3617334
Sahihi mkuuSema ndio hivyo dogo lai ana zali lake! Ila hana maajabu sana.
Na inawezekana namba anayocheza inambeba
Sio ku- dominate tu wamefungwa na fifa wamewabeba goli likakataliwaWanatupigia Kelele mara ooo Messi anakutana na timu nyepesi, wamekutana na Colombia ambayo imegongwa mara kibao na Argentina, ila wameshindwa kupata matokeo na Colombia wamedominate game mwanzo mwisho.
Acha hizo mkuu😂😂
Hawajawahi kuwa watesi wetu wao ndio wanalzimisha league na sisi 😆Mmeanza kuwaandama watesi wenu sasa
Ngoja niwe mpenzi mtamazamajiChagua timu kabisa.
Canada vs Xenophobics
ExactlyKufeli kwao ndio kunafanya waone wanaofaulu wanapendelewa