Naomba Kongo auchezee ili chama langu Iran lisonge mbeleSijui kama Algeria ataweza kutoa hata sare kwa yale majamaa matata.Kwanza yana mtu mkubwaaaaa Duniani pale mbele Arnautovic
Hovyo tuCongo vp tena
Mnooo,na anayewakata ni huyo Wissa anapoteza mipira kirahisi sn pale mbele.Hata attempts zake za hovyoHatari.Congo wanaenda kupoteza nafasi kizembe mno
😄😄😄ila goti
Congo vp tena
Mganga sio fala na yeye ni URENO.
Ni waafrika tu ndio wakudhulumiwa, wengine wakidhulumiwa hamuyasemiAlmanusra Ghana wazurumiwe goal