Wamepindua mezaALGERIAAAAAAAAAAaaaa
Mechi ikiisha hivi,Jordan ndio anakua ameaga mashindano,81'
JOR 1-2 ALG
Maninaaaaaa
Yaniiiiii waongeze tena moja iwe 1-3 kujihakikishia ushindiWamepindua meza
1-2
Algeria akaze ili Jordan wasisawazishe ndomana nasema wangeongeza goli 1Mechi ikiisha hivi,Jordan ndio anakua ameaga mashindano,
Halafu Algeria na Austria mechi ya mwisho watagombania nani aungane na Argentina kwenda 32 bora.
Mwanzo walianza vizuriIla Jordan hamna team walahi, agghhhh
Jordan bado atakua na nafasi ila itakua ndogo sana.Algeria akaze ili Jordan wasisawazishe ndomana nasema wangeongeza goli 1
Wakitoka draw je nani atatoka??
Na wakiendelea na hizo chuki,tutaanza kuona nyuzi humu za kuulizia dawa ya vidonda vya tumbo.Moja ya kazi ngumu waliojipa mashabiki wa Ronaldo ni kumchukia Messi
Mungu aisaidie AlgeriaJordan bado atakua na nafasi ila itakua ndogo sana.
Wote watakua na nafasi ya kuadvance;
Austria 3pts
Algeria 2pts
Jordan. 1pts
Huu msimamo kama Jordan akidroo na Algeria.
Oyaa 😅😅😅Na wakiendelea na hizo chuki,tutaanza kuona nyuzi humu za kuulizia dawa ya vidonda vya tumbo.
Wapumzike kwa amani😊Jorda 1
Algeria 2
Kwaheri ya kuonana Jordan,
Tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi.
Algeria bado haja advance next roundJordan ouuttttttttttttt
Algeria next round