Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,689
- 130,505
Tena kwenye tournament hii hiiKylian Mbappe ataifikia record ya Messi na kuipita
Angalia gape la idadi ya mechi
Tena kwenye tournament hii hiiKylian Mbappe ataifikia record ya Messi na kuipita
Umemsahau viniMessi 5 goals
Haland 2 goals
Mbappe 2 goals
Lamine 1 goal
Ronaldo 41 years old.
Mbape muda si mrefu anapiga 3Umemsahau vini
Jamaa alikuwa hapo karibu na alaba akamwambia aachie tu😀😀😀
Kabisa, Mbappe ana ratio nzuri ya wastani wa idadi ya mechi na mabao, na ukizingatia umri wake yeye ndio ana nafasi ya kukaa hapo alipo Messi kwa muda mrefu
Na huyo jamaa ana penati 4Kabisa, Mbappe ana ratio nzuri ya wastani wa idadi ya mechi na mabao, na ukizingatia umri wake yeye ndio ana nafasi ya kukaa hapo alipo Messi kwa muda mrefu
Ushachanganikiwa wewe Jamaa
Mkuu shida nini mbona kama umepaniki?Kila mtu anataka acheze Madrid View attachment 3613527
😁😁😁😁Mnaobishana na scars mnapoteza muda wenu bure. Au labda hamumjui. Hua hashindwi na hakubaliView attachment 3613508
Umesahau au umejisahaulisha!?Mkuu shida nini mbona kama umepaniki?
Hayo yameshapita vumilia tu mbona sisi jana Yanga tulifungwa na tumeshasahau
Kipi ni sahihi nisaidieUmesahau au umejisahaulisha!?
Ishu ya kufungwa sio mmesahau BigKipi ni sahihi nisaidie