Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,209
- 183,048
Na wahindi hawatakagi mzaha kabisa hahahtulioajiriwa na wahindi maisha yetu yatakuwa magumu sana ha ha ha ha
Na wahindi hawatakagi mzaha kabisa hahahtulioajiriwa na wahindi maisha yetu yatakuwa magumu sana ha ha ha ha
Wanatembeaga na bunduki haoo😄veve taka nini veve 😀😀
siku hizi kuna wachina wajinga hao unaweza kuwapiga na chepe la kichwa.Wanatembeaga na bunduki haoo😄
Napinga hoja kwa kishindo sana hiiKwenye makundi timu yoyote kutoka ulaya ni lazima ifuzu,wametuacha mbali sana yaani waliofuzu WC wote kutoka ulaya ni wazuri hakuna garasa.Na zitatoana zenyewe hatua ya robo fainali huko.Maana mabara mengine ni kama wasindikizaji ukiwatoa Korea,kidogo Morocco,Brazil na Argentina hakuna timu pale zikijitahidi sana zitaishia 16 Bora.Wengine waliobaki kutoka mabara mengine ni wasindikizaji tu
Kazi ipoKwenye makundi timu yoyote kutoka ulaya ni lazima ifuzu,wametuacha mbali sana yaani waliofuzu WC wote kutoka ulaya ni wazuri hakuna garasa.Na zitatoana zenyewe hatua ya robo fainali huko.Maana mabara mengine ni kama wasindikizaji ukiwatoa Korea,kidogo Morocco.Brazil na Argentina hakuna timu pale zikijitahidi sana zitaishia 16 Bora.Wengine waliobaki kutoka mabara mengine ni wasindikizaji tu
Hata mimiNapinga hoja kwa kishindo sana hii
Mkuu soka aliendi hivyo kwenye mpira haswa kwenye national team. utaona mambo yatakavyokuwa tu,Kwenye makundi timu yoyote kutoka ulaya ni lazima ifuzu,wametuacha mbali sana yaani waliofuzu WC wote kutoka ulaya ni wazuri hakuna garasa.Na zitatoana zenyewe hatua ya robo fainali huko.Maana mabara mengine ni kama wasindikizaji ukiwatoa Korea,kidogo Morocco.Brazil na Argentina hakuna timu pale zikijitahidi sana zitaishia 16 Bora.Wengine waliobaki kutoka mabara mengine ni wasindikizaji tu
jamaa analinganisha mpira na maendeleo ya kiuchumiNapinga hoja kwa kishindo sana hii
Hii ndo rank kwa sasa kabla ya shindano huanzajamaa analinganisha mpira na maendeleo ya kiuchumi
Na hawajazidi hapo ila wanapambanaTunisia Wameingia group stage mara nyingi.
Group stage (1978, 1998, 2002, 2006, 2022)