Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,823
- 7,436
Bado ni underdogs haoEngland watu wanaichukulia poa
Bado ni underdogs haoEngland watu wanaichukulia poa
Kwasababu hakuna majina makubwa eti?Bado ni underdogs hao
wale waliokota tu dodo chini ya mnazi.Lakini waliaribu fikra za haraka katika makundi kila nchi inahitaji kuongoza kundi
Hamna kitu mdau, kabla ya mashindano makubwa huwa wanajimwambafai ile mbaya, baadae miguu chini! You wait and see...England watu wanaichukulia poa
Wamejimwambafai wapi?Hamna kitu mdau, kabla ya mashindano makubwa huwa wanajimwambafai ile mbaya, baadae miguu chini! You wait and see...
kuna jamaa hapo kasema itacheza fainali, duh watu mnajua kujiamulia sana mambo 😀 😀 😀 😀England watu wanaichukulia poa
England atatamba makundi na 16 tu baada hapo ni historiaHamna kitu mdau, kabla ya mashindano makubwa huwa wanajimwambafai ile mbaya, baadae miguu chini! You wait and see...
Spain 🇪🇸 kikosi chake hakina shaka ndani yakeSpain never again
Zote za Afrika zinazoshiriki WCMfano timu gani Mkuu?
Sawa mtakutanishwa sana tuMkuu game zetu zote nitakuwa nakutag! Tena zile za kuanzia 16 bora
Sasa hivi mbona wako low key sana?Hamna kitu mdau, kabla ya mashindano makubwa huwa wanajimwambafai ile mbaya, baadae miguu chini! You wait and see...
pitia tena kikosi cha Ghana.Zote za Afrika zinazoshiriki WC
Kuna timu ukizitaja tu zinaogopesha sana.France
Spain
Argentina
Brazil