2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mpaka dakika ya 67 Ureno kapiga mashuti mawili tu😂
IMG_0622.jpeg
 
Kocha wa Portugal ni miyeyusho. Ana vifaa vyote ila kupanga mashambulizi na kumiliki mechi ameshindwa. Kocha wa DRC alivyoingia kipindi cha pili timu yake umekuja na maelekezo unayaona kabisa wanavyocheza.
 
Back
Top Bottom