2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kuna haja ya TZ kufanya jitahada za makusudi kupeleka wachezaji nje kupata exposure ya kutosha. Nchi zote za Africa zinazojitahidi players karibu wote wamezaliwa/wanacheza nje. Wachezaji wanaocheza kila siku na Mashujaa au Ihefu FC hawawezi compete at the highest level.
 
Kuna haja ya TZ kufanya jitahada za makusudi kupeleka wachezaji nje kupata exposure ya kutosha. Nchi zote za Africa zinazojitahidi players karibu wote wamezaliwa/wanacheza nje. Wachezaji wanaocheza kila siku Mashujaa au Ihefu FC hawawezi compete at highest level.
Sisi mtu akicheza Yanga Simba na Azam inatosha.
 
Kuna haja ya TZ kufanya jitahada za makusudi kupeleka wachezaji nje kupata exposure ya kutosha. Nchi zote za Africa zinazojitahidi players karibu wote wamezaliwa/wanacheza nje. Wachezaji wanaocheza kila siku na Mashujaa au Ihefu FC hawawezi compete at the highest level.
Hili wadau wameshalitambua, naamini watalitendea kazi.
 
Kuna haja ya TZ kufanya jitahada za makusudi kupeleka wachezaji nje kupata exposure ya kutosha. Nchi zote za Africa zinazojitahidi players karibu wote wamezaliwa/wanacheza nje. Wachezaji wanaocheza kila siku na Mashujaa au Ihefu FC hawawezi compete at the highest level.
Hata tuzaliwe kwa kina Messi na Ronaldo hakuna maajabu kama unafiki wa timu ukifanikiwa sifa zinaenda pahala flani..kakikundi
 
Back
Top Bottom